Wahudumu wa zahanati ya Msoga hasa baadhi ya madaktari hawako serious na wagonjwa, Leo nimefika kutibiwa hospitalini hapo kilichotokea ni kwamba wagonjwa wote tulipoingia chumba cha Daktari tukaambiwa hatuwezi kuendelea na huduma yoyote bila kupima pressure na uzito.
Shida inakuja anayehusika...