Mhadhara 30:
Aliwahi kusema kiongozi wa zamani wa Ujerumani kwamba:- "Fikiri mara elfu kabla ya kuchukua uamuzi, lakini baada ya kuchukua uamuzi kamwe usirudi nyuma hata ukipata shida elfu"
Je, kuna ukweli wowote juu ya hili?
1. Huenda unataka kung'atuka kwenye ndoa yako kwa sababu ya taabu...