zainab katimba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pre GE2025 Zainab Katimba: Serikali imetoa bilioni 1.8 kuendeleza Ujenzi wa Hospitali ya Muleba

    Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mhe. Zainab Katimba, amesema tayari Serikali imetoa Sh.Bilioni 1.8 kwa ajili kuendelea na ujenzi wa Hospitali ya Halmashauri ya Muleba, mkoani Kagera baada ya kukamilisha hatua za kimkataba. Mhe. Katimba ameeleza kuwa ujenzi wa hospitali hiyo ni...
  2. Pre GE2025 Zainab Katimba amezitaka Mamlaka za Serikali za Mitaa Kubuni Miradi Ili Kuondokana na Utegemezi

    Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Zainab Katimba, amezitaka Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini kuendelea kubuni miradi ya maendeleo itakayoziwezesha kujisimamia badala ya kutegemea fedha kutoka Serikali Kuu. Mhe. Katimba ametoa maelekezo hayo...
  3. TAMISEMI yakemea Wanasheria wa Halmashauri Wasiowajibika

    Naibu Waziri, Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mhe. Zainab Katimba, amewataka wakuu wa Idara na Vitengo vya Sheria katika Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhakikisha wanazingatia weledi, uadilifu, na uwajibikaji katika majukumu yao ili kuepusha uzembe unaoigharimu serikali. Akizungumza...
  4. Zainab Katimba: Serikali Kutoa Waraka Kwaajili ya Watumishi wa Umma Wenye Ulemavu

    Serikali inatarajia kutoa waraka utakao waelekeza wakurugenzi wa Halmashauri nchini kutekeleza miongozo inayowahusu watumishi wa Umma wenye ulemavu ili wapate mazingira rafiki na wezeshi wanapotekeleza majukumu yao. Kauli hiyo imetolewa Februari 06,2025 Jijini Dodoma na Naibu Waziri Ofisi ya...
  5. Naibu Waziri Katimba Amtaka DMO Chato Kujitathimini

    NAIBU WAZIRI KATIMBA AMTAKA DMO CHATO KUJITATHIMINI Naibu Waziri Ofisi ya Rais - TAMISEMI Mhe. Zainab Katimba amemtaka mganga mkuu na timu ya usimamizi wa shughuli za Afya wa Halmashauri(CHMT) ya Chato kujitathmini na kuhakikisha wanatoa huduma bora ya Afya kwa wananchi. Mhe. Katimba ametoa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…