zakiume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

    Wajameni tunaulizia kwa wataalamu wa JF dawa gani za kuongeza mbegu za kiume yaani idadi zake na kuongeza nguvu za kiume ukiacha viagra. Tuwe serious kutoa msaada. Ufafanuzi wa jumla wa tatizo la nguvu za kiume na tiba yake Kuishiwa nguvu za kiume ni jambo la kawaida kwa wanaume wengi. Ni...
  2. M

    Umri miaka 38 nguvu za kiume zimeisha kabisa nina thyroids hyperthyroidsm nimeidhibiti kwa dawa

    Habar wakuu nimeoa ndoa ya miaka 12 Nina kuja kwenu tatizo kadri miaka inasogea linakua kubwa zaid nguvu zangu zakiume zimepungua kama sikuisha Sina msisimko kabisa uume hausimami sometime inasimama ila dhaifu mno hofu imekua kubwa sana. Pia nina ugonjwa wa thyroids hyperthyroidsm nimeidhibiti...
  3. M

    Umri wangu ni miaka 37. Sina nguvu za kiume imara, siwezi kurudia round ya pili

    Habari wakuu kwa miaka karibia 10 Sasa nina shida yakushindwa kurudia tendo round ya pili na hata nilifanikiwa round ya kwanza hiyo nina tumia dakika 5 namaliza na hamu inaisha kabisa hadi baada ya masaa zaid ya 10. Round ya kwanza uume nikichelewa kuingiza unalala au hata unalala ukiwa ukeni...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…