Hivi Waziri wa Kilimo yupo kweli? Maana sisi wakulima wa Tumbaku hapa Tabora tunapitia changamoto na taabu kubwa sana ambazo kama zisipofanyiwa kazi sisi tutaacha kulima zao hilo na Taifa litapata hasara kubwa ya kukosa fedha za kigeni kutokana zao la Tumbaku kuanguka.
Iko hivi, sisi wakulima...
Wanajamvi
Kuna jambo lisilofaa kuhusu ruzuku ya mbolea za tumbaku kwa msimu ulioisha.
Serikali kupitia tangazo la TFRA la tarehe 29/12/2023 ilitoa mwongozo wa bei kwa mbolea za msimu huu kuwa ni chini ya 80,500 kwa mfuko.
Wakulima wa tumbaku hata hivyo wakakatwa dola 63 kwa mfuko bei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.