zari

  1. Marie Antoinette

    Ingabo za SADC zari muri DRC zigiye gutangira kuhava

    Inama idasanzwe y'Abakuru b'Ibihugu by'Umuryango w’Ubukungu n’Iterambere ry’Ibihugu bya Afurika y’Amajyepfo (SADC) yiga ku bibazo by'umutekano muke muri DRC yanzuye isozwa ry'ubutumwa bw'Ingabo zawo, SAMIDRC, ziri muri Repubulika Iharanira Demokarasi ya Congo, itegeka ko zitangira gutaha.Iyi...
  2. D

    Kwani urais Tanzania unatokea kama zari? Kwa nini mtu akijiandaa nao anaonekana amekosea sana! Which is which, zai ka la jpm au kuniandaa?

    Hii tamadani inayojijenga tanzania siyo nzuri kabisa. Mtu akijiandaa kwa mda mrefu kwa ajiri ya urais ataundiwa zengwe mpaka ataonekana ni jambazi. Ninachofahamu mimi kila position huwa ina maamdalizi kwa anayetaka siyo kumlazimisha kama alivyolazimishwa jpm. Na ndo mana uongozi wake kulikuwa...
  3. T

    Gushakira umuti ikibazo cya transport mu mujyi wa Kigali, bisa nk'inzozi

    Bisi 100 zitwara abagenzi zari zitegerejwe zarahageze Ni Bisi zije nyuma y’uko mu kwezi k’Ukwakira hari herekanywe izindi bisi 20, na zo zahise zitangira gutwara abagenzi mu Mujyi wa Kigali, mu gihe hari hagitegerejwe izindi 100 zagombaga kuzanwa na Leta. Minisiteri y’Ibikorwa Remezo...
  4. Mjanja M1

    TBC wapo kwenye Mkutano wa Zari na Waandishi wa Habari!

    Inaweza ikawa sio jambo la kushangaza kwa nchi yetu, lakini ni kwanini kwenye mambo ya maana hawahudhurii mf. Mikutano ya Siasa na maandamano ya vyama vya upenzani, n.k? TELEVISION YA TAIFA MNAFELI PAKUBWA SANA!
  5. data

    ViDEO: Je, Diamond na Zari wamerudiana?

    Anybody say something please. This is the best couple that ever existed in Bongo flavour industry Semaa Mondi nae vipi !! Kwani hiyo saa shing ngapi!? Au anahamisha mjadala wa Saa ya Madame President.!?🤗🤗 Nifah p'se.. say whatever..
  6. Mwachiluwi

    Nikisema mastaa wenu hawana hela hasa bongo sasa Zari wakwenda kuspend element kwa jina alilonalo?

    Hellow africa Sikutegemea Zari kwenda element kuspend sio hazi yake yeye alitakiwa kwenda maeneo kama wavuvi kempu, karambezi, sea crif, cape town huko ndiko anaweza tumia pesa pale anagawa tu
  7. papytex

    Diamond aelezea kwanini aliamua kutozungumuza na Nadai bali Zari

    Katika kanda ya Video iliotokea katika mtandao wa kijamii wa YouTube, diamond alitokea wazi na kuelezea ni kwanini alizungumza na mama watoto zari aka Boss Lady licha ya kuonyesha dalili ya kumtaka Nadia katika filamu inayozungumuziwa mtaani hivi sasa- Young Famous & African Unaeza jionea mkanda...
  8. reymage

    New couple in town

    Hatimaye tetesi zimekuwa kweli! Diva wa music Bongo Sukari, Zuchu anatoka na boss wake aliyemtoa kimuziki yaani Diamond Platnumz. Jana wamenaswa Hyatt Regency wakijiachia full mahaba kiss and touch everywhere. Yasemekana anataka kumuoa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848] Kabla ya kuwa na...
  9. Frumence M Kyauke

    Zari Hassan (The Boss Lady) ataja sababu zilizovunja mahusiano yake na Diamond Platnumz

    Zari amefichua miongoni mwa sababu zilizomfanya kumwacha staa wa bongo Diamond Platnumz ni kwa sababu ya kutokuwa mwaminifu mfululizo. Anasema wasichana walikuwa wengi na katika baadhi ya matukio, kulikuwa na mimba zinazohusika. Akizungumza wakati wa mahojiano ya wazi na Toke Makinwa, Zari...
  10. Frumence M Kyauke

    Zari akemea wanaomkosoa kwa kuvaa chupi nyeusi ndani ya nguo nyeupe

    Mwanasoshalaiti na mjasiriamali Zari Hassan amewakemea watu ambao wamekuwa wakimkosoa baada ya video inayoonyesha chupi aliyovalia kusambaa mitandoni. Kwenye video hiyo ambayo ilirekodiwa wakati wa sherehe za kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa, Zari anaonekana akiwa anasakata densi huku akiwa...
  11. Frumence M Kyauke

    Zari Hassan - Nimeolewa mara moja

    Haya basi mwanasoshaliti na mjasiriamali Zari Hassan ameweka wazi kwamba aliolewa mara moja katika maisha yake. Kulingana na Zari akiwa kwenye mahojiano na Bizz alisema kwamba ndoa yake ilikuwa kati yake na mumewe mwendazake Ivan Semwanga. Zari alifahamika sana baada ya kuwa mpenzi wake staa wa...
  12. warumi

    Zari na Diamond kuja na reality show yao on Netflix

    This is what I have been expecting from Zari , Sasa mastaa wabongo mtulie mjifunze maana ya reality show kwa Zari sio reality show zenu hizo fake za Instagram, can’t wait for this [emoji91] Can’t wait for this , hii show itakua ni , wabongo mkae mkao wa kula mjifunze maana ya reality show sasa...
  13. Geza Ulole

    Tanasha Donna has officially got a substitute...

  14. warumi

    Picha: Muna love akiwa na Zari...

    Ninachompendea Muna ana Tabia ya kujipendekeza kwa watu waliofanikiwa. Muna Siku hizi ka upgrade uchawa, kutoka kuwa mbeba mapochi wa wema, lulu hadi kuwa Karibu na bosslady Zari , kweli muna mtoto wa mjini anajua kutumia fursa, ana akili sana za biashara. Tunaomjua muna wa miaka hiyo ambaye...
  15. warumi

    Zari, Diamond ndani ya Zanzibar

    Shoga kidawa nasikia yuko Zanzibar na sadala(domo), Sijui ndo wameenda kuoana au ku shoot video, wanataka tu kutupa presha hapa wambea mxieew
  16. Ketoka

    Giggy Money: Lazima nifanye mapenzi na mtoto wa Zari

    Msanii wa muziki Bongo, Gigy Money amefunguka na kudai kuwa ana mpango wa kuzaa na mtoto wa kwanza wa Zari The Bosslady. Muimbaji huyo akipiga stori na SnS Tanzania (Simulizi na Sauti) amesema atafanya hivyo ili Zari aweze kumuheshimu kama mkwe wake. "Sasa Zari, mimi ninachokuaidi kitu kimoja...
Back
Top Bottom