zbc

A ZBC of Ezra Pound is a book by Christine Brooke-Rose published by Faber and Faber in 1971. It is a study of the work of Ezra Pound, focusing in particular on The Cantos.
In Chapter Six, Brooke-Rose gives an explanation of the prosody of Anglo-Saxon alliterative verse as Pound would have understood it, based on Sievers' Theory of Anglo-Saxon Meter.
The book is out of print but can be read online.

View More On Wikipedia.org
  1. Mwachiluwi

    ZBC ni ya serikali au ya Dini ya kiislamu

    Naomba kufahamishwa ilo ZBC nani mmiliki na kama serikali tunajua kuwa serikali haina Dini why iwe imejikita kwenye dini? Tunaona TBC haijaegemea upande wowote zaidi ya upande wa serikali maudhui ya TBC sana sana kuonyenyesha miradi inayo endelea na mambo mengi ya serikali Lakini kwa ZBC...
  2. Ojuolegbha

    Mkurugenzi ZBC atembelea Ubalozi wa Tanzania Comoro

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC) Ramadhani Bukini leo ametembelea Ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Comoro ambapo amefanya mazungumzo na Maafisa Ubalozini hapo wakiongozwa na Mhe. Balozi Saidi Yakubu. Bwana Bukini alitumia wasaa huo kuelezea maboresho yanayoendelea...
  3. Ojuolegbha

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC) afanya ziara Visiwa vya Comoro

    MKURUGENZI MKUU ZBC ZIARANI COMORO Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Zanzibar, Ramadhani Bukini yuko nchini Comoro ambapo amekutana na Mkurugenzi Mkuu mwenzake wa Shirika la Utangazaji Comoro ORTC na kutoa mhadhara wa “Maboresho Yanayofanyika ZBC” uliokuwa kivutio kikubwa. Bwana...
Back
Top Bottom