8.2.2025 pale kwa Tata Madiba, Zero Brainer alishinda TUZO ya mtengeneza maudhui bora ya michezo wa mwaka kutoka TIKTOK.
Tuzo hii ililipa TAIFA la Tanzania heshima kubwa sana, alikuwa anashindana na watu wakubwa kutoka mataifa mbali mbali duniani.
Maudhui yake Zero brainer ndio mtanzania...
Mchekeshaji na mtengeneza maudhui wa mitandaoni Mtanzania Zero Brainer ameshinda tuzo ya "Sports Creator of the Year TikTok Awards 2024" katika tuzo zilizofanyika usiku wa kuamkia leo Februari 9, 2025 Jijini Johannesburg, Afrika Kusini.
Soma: Watanzania huyu mchekeshaji Zero Brainer...
Wakuu,
Kuna huyu Tiktoker anaitwa Zero Brainer ambaye ni Mtanzania anayeongoza kuwa na followers zaidi Tanzania Tiktok.
Video zake huko Tiktok zina Millions of likes of followers lakini hazingatiwi kabisa. Ana followers Milioni 12 amemzidi amemzidi hadi Diamond
Kila siku mnawazungumzia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.