Rais naomba nisianze Kwa kukupongeza Kwa kazi unazozifanya maana Mimi ni miongoni MWA watu wachache tunao amini yakuwa hakuna Rais wa nchi anae ingia ikulu Kwa ajili ya kucheza" mdundiko ngoma ya Ukae"
Mh Rais naomba nianze Kwa kweli kushukuru Mwenyezi Mungu anae tupa pumzi,na uhai mimi na wewe...