Mwezi ulipita yaani September,ilitimia miaka 34 tangu kiongozi wa kanisa katoliki kwa wakati huo Papa John Paul II afanye ziara yake nchini.
Hakuna ubishi ya kuwa Papa John Paul II ndio Papa maarufu na aliyependwa zaidi kwa miaka ya hivi karibuni.
Sasa basi mwaka huo wa 1990,mwezi september...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.