Kwanza naanza kwa kutoa salam za dhati na uchovu wa safari mheshimiwa Rais hapo katavi ulipo ngoja niende moja kwa moja kwenye mada chokozi
Rais yupo Ziarani Mkoa Katavi, kaambatana na manaibu mawaziri wengi tu huku kukiwepo na taarifa wakati wowote akiwa Katavi au kurudi Dar es salaam baada...