ziara za lissu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    Ziara za Lissu hazina Tija na matokeo Chanya kwa CHADEMA

    Ndugu zangu Watanzania, Kujenga chama, kueneza chama ,kuongeza wanachama na wafuasi,kupata kura za ndio kutoka kwa watu inahitaji akili, umakini,sera,ajenda zenye kugusa maisha ya watu. Inahitaji kuwa na sera mbadala zidi ya yule aliyepo madarakani,inahitaji ushawishi wa hoja nzito na sera...
  2. J

    Lissu awashutumu CCM na Serikali kwa kuwanyonya na kuwafilisi wananchi sawa na makupe

    Sidhani kama yuko mtu ndani ya CCM anaweza kujibu hoja za Lissu. Sidhani kama CCM watavumilia Lissu atimize azma yake ya kufanya mikutano Singida, Dodoma, na Morogoro. Msikilizeni hapa chini jinsi anavyoelewana na wananchi. https://www.youtube.com/watch?v=ScnK4620Ib4
  3. J

    Pre GE2025 Tundu Lissu: Singida na Dodoma ni mikoa Maskini inayoongoza kwa kuichagua CCM

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA mh Tundu Lissu amesema tangu Mfumo wa Vyama Vingi uanze ni yeye peke yake ndio amewahi kuchaguliwa kama mbunge kutoka chama cha Upinzani, Dodoma ndio Kabisa wanachagua CCM kwa asilimia 100. Lissu anadai Singida na Dodoma ni Mikoa Maskini inayoongoza kwa kuichagua...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…