zimepanda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Bei za vifurushi za bima ya afya ya NHIF vimebadilishwa. Gharama zimepanda

    Wakuu, Shirika la Taifa la Bima NHI hivi karibuni limebadilisha bei na majina ya vifurushi vyake. Mabadiliko haya yalitangazwa tangu December 17th 2024 na sasa umepita takriban mwezi mmoja tangu mabadiliko hayo yafanyike. Badala ya bei ya Tshs 194,000 sasa vifurushi vitaanzia 240,000 kwa watu...
  2. Pdidy

    Latra fwatilien nauli zimepanda gafla na mnajua hili..shida sikukuu ama someni mwananchi la leo

    Ntashangaa kusikia tkt za kulanguliwa hazipo Dec Hii n miradi mirefu sana KUNA jamaa huwa ananunua HATA tkt 30 Dec analangua na ana madalali kabisa ukienda kwenye basi wanakwambia limejaa Basii halijajaaaa kinachofanyika Wana mtu special ana tkt zao ndio maana wakikwambia tkt zimeisha ama...
  3. S

    Gharama za vipimo Muhimbili zimepanda kimyakimya?

    Jana siku ya jumatatu 26.08.2024 nilimsindikiza mgonjwa Muhimbili akaandikiwa kipimo cha Ultrasound tulivyoenda kulipia tumekuta bei imepanda zamani ilikuwa Tsh 25,500 lakini jana tumelipishwa 35,500,je ina maana na vipimo vingine navyo vimepanda bei au imekaaje hii. Je hali ikiwa hivi sisi...
  4. Mwachiluwi

    Pipi kifua zimepanda bei

    Hellow Leo nimefika shop kununua pipi kifua kifua kidogo kinanisumbua so nikasema ngoja nipate pipi kifua, nikatoa jero ili nipate kumi naambia moja 100 sio 50 duh nikauliza kwanzia lini wakasema mbona ndio bei yake Kwani pipi kifua zina matumizi mengine ambayo mm siyajui up zinapanda bei...
  5. kimsboy

    Leo nimepanda daladala!! Kumbe nauli zimepanda kiasi hiki?

    Kweli Kizimkazi anawanyoosha nyie wanyonge wa nchi hii Leo nilitoka nikapanda usafiri wa umma ni muda sana sijapanda daladala Kumbe nauli zimepanda kiasi hiki😢 Halafu mnaimba kuwa anaupiga mwingi kweli kizimkazi anawanyoosha Watanganyika mtajuta kumjua huyo bibi wallah nawaambia atawanyoosha...
  6. Kinoamiguu

    Sawa nauli zimepanda lakini zinaendana na ubora wa huduma?

    Shime wanajanvi, Tarehe nane inakaribia, tutaanza kulipa nauli mpya za daladala na mabasi ya mikoani. Tumeambiwa wadau walitoa maoni yao nchi nzima mimi sikuhojiwa. Ningehojiwa nisingeafiki hata kidogo, sababu ninazo lukuki tena zenye mashiko hasa kwa daladala; huduma ni mbovu mnoo, mbovu sana...
  7. Gulio Tanzania

    Condom zimepanda bei tumejipangaje kudhibiti maambukizi?

    Wakati tunapambana na mfumuko wa bei kumbe sikujua hata condom nazo zimepanda bei juzi wakati nipo safari usiku ule nilivyofika bar moja nimekunywa wakati naondoka zangu kulikuwa kuna mrembo nilimuomba kampani akakubali usiku ule nilinunua kondom pakiti mbili za kutumia usiku ule na asubuhi...
  8. Awiaman ooza

    Kwa nini "Grade" za chuo zimepanda?

    Wakuuu salaaaam Nimepata matokeo yangu ya UE nimesikitishwa. Kwa upangiliaji wa grade hizi sababu nilidhania A inaanzia 70 kumbe sio hapa chini ni muongozo wa grade hizo A - 75 - 100 B+ - 65 - 74 B - 60 - 64 C - 50 - 59 D - 40 - 49 F / sup - below 40 Hii ni haki kweli wamangu by the way nina...
  9. NetMaster

    Wachumi, ni wapi pana nafuu kati ya awamu ya tano na ya sita?

    Ningependa kupewa ufafanuzi wa kiuchumi ni hali ipi huwa ina unafuu A. Mzunguko wa pesa kuwa mdogo ila bei za bidhaa / huduma ni kawaida. Awamu hii ilisifika kwa msemo maarufu vyuma vimekaza, mzunguko wa pesa ulipungua kwa sababu biashara nyingi zilifufungwa ama kusua sua, hakukuwa na ongezeko...
  10. Meneja Wa Makampuni

    Je, kupanda kwa bei za mazao kunaweza kumnufaisha mkulima ikiwa bei za bidhaa nyingine zimepanda?

    Habari za leo marafiki, vijana wenzangu, wakubwa wangu na maboss zangu, Naomba tushiriki huu majadala kwa kupiga kura ikiwezekana tutolee na maelezo. Karibuni
  11. S

    TRA Wamepandisha kodi kwa magari yanayoingizwa nchini

    Washapandisha kodi kitambo. Baadhi ya gari zimeongezeka hadi milioni. Angalieni TRA tax calculator. ===
  12. P

    Gharama za bia zimepanda ghafla

    Wapenzi wenzangu wa kinywaji kizuri cha beer, tumeingiliwa, beer zetu pendwa kwa bei elekezi zimeanza kupanda kinyemela, Serengeti Lite sasa inauzwa Tsh. 2000 kutoka Tsh 1500, hii siyo fair. Kwanza hakuna sababu za msingi, tumlaumu nani, serikali au viwanda? Maana vinapata faida kubwa tu hata...
  13. Nyankurungu2020

    Miaka mitano ya hayati Magufuli, bei za nafaka hazikupanda namna hii. Sasa zimepanda na wananchi wanakula mlo mmoja na nusu

    Wanachi wataumia sana, hawana mtetezi. 👇 Nipashe ilitembelea maeneo mbalimbali ya Dar es Salam na kubaini kupanda bei za bidhaa zinazotumiwa na kwa mlo wa kila siku ambazo ni mchele, maharagwe, unga wa ngano, unga wa sembe, dona na choroko. Mchele kilo moja umepanda kutoka sh. 1,800 au 2,000...
  14. The Assassin

    Hii ndio inaitwa kuupiga mwingi, gharama za bando zimepanda tena

    Ndani ya kipindi kifupi gharama ya bando/bundle ya internet imepanda kwa zaidi ya 45%. Sisi watumiaji wa Vodacom tulikua tunanunua kifurushi cha Mwezi kwa shilingi elfu 50 na kupata GB 50. Haikukaa muda kifurushi kikapanda gharama badala ya kupata GB 50 tukapewa GB 37. Mwezi March/April...
  15. MSAGA SUMU

    Na tambi nazo zimepanda bei, hii nchi sijui tunaenda wapi

    Katika hali ya kushangaza mpaka tambi nazo wamechakachua. Kabla kulikuwa na tambi 450 kwenye pakiti moja Leo nimehasabu nimukuta tambi 410 yaani pungufu ya tambi 40. Watanzania tushtukeni na jitahidi kuhesabu vitu kabla ya matumizi Kama viberiti na tambi.
  16. T

    Mshahara umeongezeka 23.3%, nauli zimepanda 60%

    Kuna shangwe kuhusu tamko la serikali kuongeza mshahara 23.3% wakati ambao nauli ya bajaji na daladala na bajaji imepanda kutoka sh 500 hadi 800 sawa na 60%.
  17. Monica Mgeni

    Kwanini bei za mafuta zimepanda zaidi mwezi Mei 2022?

    Taifa Digital Forum imefanya ufuatiliaji wa kina juu ya ongezeko la Bei ya Mafuta ya Nishati Nchini na kubaini kuwa katika kupindi cha Mwezi Machi 2022, bei ya mafuta ghafi katika soko la dunia ilikuwa ni ya juu zaidi ikilinganishwa na bei za miaka 14 iliyopita. Hali hiyo imesababishwa na...
  18. sky soldier

    Majirani Wakenya, bei za mafuta Tanzania zimepanda 157.6 - 168.3 petrol & 163.2 - 169.7 diesel. Kwenu vipi?

    hizi bei zimeanza kutuchoma kama pasi wenye vipato vya kawaida hali ipo vipi kwa Kenyatta huko? Petrol 3,148 tshs / 157.66 kshs >>> 3,361 tshs / 168.3 kshs Disel 3,258 tshs / 163.2 kshs >>> 3,390 tshs / 169.78 kshs
  19. aise

    Kigamboni nauli zimepanda tayari

    Nauli za bajaj tayari zimepanda kutoka 500 mpaka 1,000/= Na hakuna ufafanuzi wowote. Jana natoka zangu mishe naambiwa nauli 1000 badala ya 500. Hii siyo haki.
  20. L

    Bidhaa zimepanda bei, sasa Soda ni Tsh 600/=

    Soda Tsh 600 badala ya 500 Maji ya Hill/Uhai 600 badala ya 500 Mafuta alizeti lita 5, 39,000/= badala ya 22,000/= Nondo milimita 10, 20,000/= badala ya 12,500/= Alizeti ya Singida inaathiriwa vipi na vita ya Ukraine? Mafuta ya Arizeti yapo kwenye magodown ya wahindi wanabana ili wacheze na...
Back
Top Bottom