Baada ya ultimatum ya masaa 48 lililopewa jeshi la DRC kuweka siraha chini, likagoma, hatimae ziwa Kivu lilifungwa pia. Hivyo kuingia au Kutoka Goma ikawa ndo haiwezekani tena, maana na mipaka ya ardhini ilifungwa.
Jeshi la serikali lilitii amri na kupelekea siraha MONUSCO, huku wao...