Habari wana Jukwaa.
Nina project ambayo inaitaji USB modem, yoyote kati ya hizi kampuni tajwa hapa chini:
Huawei
ZTE
Najua teknolojia ya modem imeenda ina phase out kwenye nchi yetu, kutokana na kwamba kwa sasa kuna MiFi router ambazo unaweza kuzipata mpaka kwa 50,000/=
Hivo kama kipindi...
Hawa mabwana waliwaza nini kuachia flagship kali kama hii bila kuweka protection kwenye display mfano protection ya gorilla glass na hata ile ya IP water resistant haina au ni GSM arena ndio wamesahau kuandika hizo protection
Kwa hapa nchini. Au mpaka kuagiza? Naona features&specifications zimenivutia.
Screen kubwa 6.8
Battery kubwa 5000 (japo charger watts ndogo)
Storage na RAM
Muundo wake unavutia. Nn.k
Sasa naomba mnijuze bei yake upatinanaji wake kwa hapa nchini
Pata kujua jinsi watu wanavyounlock modem unakaribishwa kwa maswali na utasaidiwa.
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU JAMBO HILI
---
---
===
UFAFANUZI WA JUMLA WA NAMNA YA KUFANYA JAMBO HILI
A. Jinsi ya kuunlock modem ya E303s-1
Kwa njia hii utaweza kuunlock modem zote za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.