zuma

Jacob Gedleyihlekisa Zuma (Zulu: [geɮʱejiɬeˈkisa ˈzʱuma]; born 12 April 1942) is a South African politician who served as the fourth democratically elected President of South Africa from 2009 to 2018. Zuma is also referred to by his initials JZ (pronounced jay-zee) and his clan name Msholozi.Zuma served as Deputy President of South Africa from 1999 to 2005, but was dismissed by President Thabo Mbeki in 2005 after Zuma's financial adviser, Schabir Shaik, was convicted of soliciting a bribe. Zuma was elected President of the African National Congress (ANC) on 18 December 2007 after defeating Mbeki at the ANC conference in Polokwane. On 20 September 2008, Mbeki announced his resignation after being recalled by the ANC's National Executive Committee. The recall came after South African High Court Judge Christopher Nicholson ruled Mbeki had improperly interfered with the operations of the National Prosecuting Authority (NPA), including the prosecution of Jacob Zuma for corruption.
Zuma led the ANC to victory in the 2009 general election and was elected President of South Africa. He was re-elected as ANC leader at the ANC conference in Mangaung on 18 December 2012, defeating challenger Kgalema Motlanthe by a large majority, and remained president of South Africa after the 2014 general election, although his party suffered a decline in support, partly due to growing dissatisfaction with Zuma as president. On 18 December 2017, Cyril Ramaphosa was elected to succeed Zuma as President of the ANC at the ANC Conference at Nasrec, Johannesburg. Subsequent months saw growing pressure on Zuma to resign as President of South Africa, culminating in the ANC "recalling" him as President of South Africa. Facing a motion of no confidence in parliament, Zuma announced his resignation on 14 February 2018, and was succeeded by Ramaphosa the next day.
Zuma has faced significant legal challenges before, during, and after his presidency. He was charged with rape in 2005, but was acquitted. He has fought a long legal battle over allegations of racketeering and corruption, resulting from his financial advisor Schabir Shaik's conviction for corruption and fraud. On 6 April 2009, the NPA dropped the charges against Zuma, citing political interference, although the decision was successfully challenged by opposition parties. After extensive state-funded upgrades to his rural homestead at Nkandla, the Public Protector found that Zuma had benefited improperly from the expenditure, and the Constitutional Court unanimously held in 2016's Economic Freedom Fighters v Speaker of the National Assembly that Zuma had failed to uphold the country's constitution, resulting in calls for his resignation and a failed impeachment attempt in the National Assembly. Zuma's presidency is estimated to have cost the South African economy R1 trillion (approximately US$83 billion). He has also been implicated in reports of state capture through his friendship with the influential Gupta family. He survived multiple motions of no confidence, both in parliament and within the ANC.
Since 2018, the Zondo Commission established by Zuma has been investigating corruption and fraud in the government, and Zuma himself has been called to testify before the Commission. He has not returned to the inquiry since withdrawing on the fourth day of his testimony in July 2019. In a separate legal matter, in 2018 the High Court of South Africa backed a decision to reinstate charges from 2009 of corruption against Zuma relating to a $5bn (£3bn) arms deal from the 1990s. He faces 16 counts of corruption, racketeering, fraud, and money laundering, accepting a total of 783 illegal payments. Zuma pleaded not guilty in May 2021. On 29 June 2021, he became the first South African president since the end of white-minority rule in 1994 to receive a prison sentence. The Constitutional Court issued a 15 month sentence for contempt of court after Zuma defied an earlier court order to return and testify before the Zondo Commission.

View More On Wikipedia.org
  1. Mkalukungone mwamba

    Binti wa aliyekuwa Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma amekamatwa na kufunguliwa mashtaka ya ugaidi

    Binti wa aliyekuwa Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma amekamatwa na kufunguliwa mashtaka ya ugaidi. Mbunge wa Afrika Kusini Duduzile Zuma-Sambudla ameshutumiwa kwa kuchochea ghasia na mauaji katika ghasia za Julai 2021 zilizoua zaidi ya watu 350. Zuma-Sambulida alifika ana kwa ana mbele ya...
  2. kavulata

    Kama Mwl. Nyerere angekuwa hai angemwambia Cyril Ramaphosa acha ujinga, mwache Zuma

    Viongozi wanaoheshimika wamekwisha Afrika. ANC kitasambaratika kwasababu ya kukamiana wenyewe kwa wenyewe na kutengeneza a vicious cycle. Ramaphosa na mbeki wanamsulubu legendary mwenzao Zuma, dhambi hii itaimaliza South Africa na hasa chama tawala ANC. Kama Mwl Nyerere (RIP) angekuwepo bila...
  3. W

    Binti wa Jacob Zuma achumbiwa na Mfalme Mswati III

    Nomcebo Zuma, 21, atakuwa mke wa 16 wa Mfalme Mswati Il. Binti huyo alikuwa miongoni mwa mamia ya wasichana waliocheza ngoma kwa ajili ya Mfalme wa Eswatini katika sherehe za kitamaduni siku Jumatatu, kuthibitisha uchumba wake na mfalme huyo. Mfalme Mswati Ill ana umri wa miaka 56...
  4. chiembe

    Global Powers zimekwisha baada ya vita baridi ? Usijidanganye, MK ya Jackob Zuma kwa udhamini wa Russia kidogo iiondoa ANC,

    Still dunia ina big brothers, Rutto alipokaribishwa meza kuu na NATO akasahau wachina wamewekeza mapesa mengi, na Russia inapigana na NATO.. Rais wa sasa wa South Africa ni pro western. Dola milioni kadhaa wanayumbisha nchi, Non Allignment is the way to go. Rutto pro western, Raila Pro...
  5. JanguKamaJangu

    Chama cha Jacob Zuma, Umkhonto we Sizwe chawasilisha maombi Mahakama ya Katiba kuzuia kikao cha Bunge

    Chama cha Umkhonto we Sizwe (MK) kinachoongozwa na Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma kimewasilisha maombi katika Mahakama ya Katiba kuzuia kikao cha kwanza cha Bunge kinachotarajiwa kufanyika Ijumaa Juni 14, 2024 kwa lengo la kuapishwa Wabunge, kufanya Uchaguzi wa Spika na Naibu Spika...
  6. BARD AI

    Afrika Kusini: Chama Tawala cha ANC chamsimamisha uanachama Rais Mstaafu Jacob Zuma

    Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma amesimamishwa Uanachama wa chama Tawala cha African National Congress (ANC) akidaiwa kukataa kupiga Kura ndani ya Chama pamoja na kushiriki kuanzisha Chama Pinzani. Imeelezwa kuwa Zuma aliyeliongoza Taifa hilo kwa miaka 9 na kujiuzulu baadaye kutokana...
  7. S

    Familia ya Gupta iliuweka utawala wa Zuma mfukoni ikawa haigusiki. Je, kuna familia inamsumbua rais Samia?

    Afrika Kusini wakati wa utawala wa Zuma familia ya Gupta ilikuwa na uswahiba usiokuwa na afya na mtoto wa rais huyo. Hii ikapekekea ufisadi mkubwa Sana kufanyika serikalini kupitia tenda zilizokabidhiwa kwa familia hiyo. Hivi Sasa Kuna ufisadi unaowekwa wazi na CAG hapa Tanzania lkn mamlaka...
  8. BARD AI

    Mahakama yakataa mashtaka ya binafsi ya Jacob Zuma dhidi ya Rais Ramaphosa

    Mahakama ya Afrika Kusini imesitisha mashtaka binafsi dhidi ya Rais Cyril Ramaphosa yaliyoanzishwa na Rais wa zamani Jacob Zuma. Ramaphosa alikata Rufaa Mahakamani kujaribu kusitisha juhudi hizo. Zuma anamshutumu Rais kwa kushindwa kuchukua hatua dhidi ya mwendesha mashtaka wa Serikali na...
  9. BARD AI

    Afrika Kusini: Washirika wengine wa Jacob Zuma wakamatwa kwa Ufisadi

    Waendesha wamewakamata Watendaji wa zamani kutoka kampuni ya Usafirishaji ya Umma ya Transnet ambayo inachunguzwa juu ya kuhusika na ufisadi wakati Jacob Zuma akiwa Rais. Mamlaka ya Taifa ya Mashtaka (NPA) imesema Mkurugenzi Mtendaji wa zamani wa Transnet, Brian Molefe na Mkurugenzi wa Fedha...
  10. Fortunatus Buyobe

    Naliona anguko la Ramaphosa kama la mtangulizi wake Zuma

    Tarehe 9 mwezi wa pili mwaka 2020 Rais wa Afrika kusini Cyril Ramaphosa alikuwa mkutanoni Jijini Adis Ababa Ethiopia. Huko nyuma nchini kwake katika shamba lake la wanyamapori la PHALA PHALA lililopo Jimbo la Limpompo linatokea tukio la kuvunja na kuiba. Mfanyakazi wa ndani wa Rais pale...
  11. Lady Whistledown

    Afrika Kusini: Kesi ya ufisadi ya Zuma yaahirishwa

    Kesi ya ufisadi nchini Afrika Kusini inayomkabili Rais wa zamani Jacob Zuma imeahirishwa tena kusubiri matokeo ya rufaa ya kiongozi huyo wa zamani ya kutaka mwendesha mashtaka wa serikali aondolewe kwenye kesi hiyo. Zuma hakuwepo katika Mahakama Kuu ya Pietermaritzburg kutokana na "dharura ya...
  12. Nyuki Mdogo

    INAUZWA Jijini Mwanza: Mfalme zuma anauza pikipiki yake King Lion 1,800,000

    Pikipiki ni King Lion Cc 150 Gia 5 ametembea mwaka mmoja Hana shida yoyote njoo na hela yako tu Engine nzima kabisa 1,800,000 Nipo Nae machinjioni hapa 0713096076
  13. Jakamoyo msoga

    If Jacob Zuma was jailed the former president, who is Sabaya, a merely District Commissioner!

    Sabaya court decision is not news. The outcomes were known from the date he was arrested. More importantly, this matter has political backups and background. It isn't news and not a surprise. If Jacob Zuma was jailed the former president, who is Sabaya, a merely District Commissioner! One...
  14. B

    Jacob Zuma alazwa hospital Kwazulu Natal, afanyiwa operesheni na nyingine kufuata siku chache zijazo

    15 August 2021 Johannesburg, Republic of South Africa Rais wa zamani Jacob Zuma amelazwa hospitalini katika maeneo ya KwaZulu Natal na kufanyiwa upasuaji wa mwanzo ambao katika siku chache zijazo anategemewa kufanyiwa operesheni kadhaa za kitabibu hivyo ataendelea kulazwa hospitalini kwa muda...
  15. beth

    Kesi ya Ufisadi dhidi ya Jacob Zuma kusikilizwa Septemba

    Kesi ya Ufisadi inayomkabili Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma imeahirishwa kwa mara nyingine hadi Septemba 9 kutokana na hali yake ya kiafya. Zuma alilazwa Hospitalini wiki iliyopita. Jaji Piet Koen wa Mahakama Kuu ameamuru upande wa Zuma kuwasilisha Ripoti ya Afya hadi kufikia Agosti 20. Pia...
  16. The Mongolian Savage

    Mkwara wa Zuma

  17. SankaraBoukaka

    Serikali ya CCM ina kitu cha kujifunza kinachotokea kuhusu Rais Mstaafu Zuma nchini Afrika Afrika

    Nafkiri Serikali ya CCM na Watanzania kwa ujumla wetu kuna kitu cha kujifunza kupitia VURUGU zinazoendelea kuhusu kifungo cha ZUMA. Kiuhalisia asilimia kubwa ya hao wanaondamana na kuleta fujo ni wale ambao wameona wamepata FURSA ya kuonyesha na kupunguza STRESS na HASIRA zao kwa mambo mengi...
  18. Analogia Malenga

    Wanajeshi waingia mitaani kudhibiti vurugu zinazohusiana na Rais Zuma kufungwa

    Watu sita wameripotiwa kufariki baada ya kuwa na vurugu zilizosababishwa na kufungwa kwa aliyekuwa Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma Wanajeshi wame;azimika kuingia mitaani ili kudhibiti vurugu zinazoendela ambapo hadi sasa watu 219 wamekamatwa katika vurugu hiz Katika Jimbo ambalo Zuma...
  19. Suley2019

    Maandamano yaendelea kushika kazi Afrika Kusini kufuatia kukamatwa kwa Jacob Zuma

    Mamia ya watu wamekamatwa nchini Afrika Kusini huku ghasia zikienea kufuatia kufungwa jela kwa rais wa zamani Jacob Zuma. Waandamanaji wanaomuunga mkono Zuma kwanza waliingia mitaani baada ya kiongozi huyo wa zamani (79) kujisalimisha kwa mamlaka Jumatano ili kuanza kifungo cha miezi 15...
  20. beth

    Afrika Kusini: Mahakama Kuu yatupilia mbali ombi la Jacob Zuma

    Siku chache baada ya Jacob Zuma kujisalimisha Polisi kuanza kifungo cha miezi 15, Mahakama Kuu Nchini humo imetupilia mbali ombi lake la kuzuia kukamatwa kwake. Licha ya kujisalimisha Polisi, Rais huyo wa zamani wa Afrika Kusini amepinga kifungo chake na Mahakama ya Kikatiba ambayo ilitoa...
Back
Top Bottom