Ndg wanajamvi naamini humu wamo walimu - kwa taaluma. Naomba kuuliza kwanini wanafunzi wa kuanzia darasa la I hadi la V wanafundishwa kuwa namba ndogo haiwezi toa namba kubwa?
Mfano; 2-6 = haiwezekani
3-10= haiwezekani
He he he he, kwanini darasa la saba hawafundishwi calculus?
Ndg wanajamvi naamini humu wamo walimu - kwa taaluma. Naomba kuuliza kwanini wanafunzi wa kuanzia darasa la I hadi la V wanafundishwa kuwa namba ndogo haiwezi toa namba kubwa?
Mfano; 2-6 = haiwezekani
3-10= haiwezekani
Nakumbuka nlipokua advance level nliambiwa dunia inaumbo la sphere nlipofika juu nkaambiwa dunia ni bumpy shaped (irregular shape)!!
Nadhani haya mambo yanaenda na muda ukizingatia zaidi level na uelewa wa mwanafunzi!! Huwezi mfundisha mwanafunzi wa o-level complex number na kumwambia kuna root ya negative number!! Kwa olevel utaambiwa hamna square root ya negative number ila ukija advance unaambiwa ipo!!
Level na uelewa wa wanafunzi ndivyo vitapelekea nani afundishwe nini.