Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Benki ya Dunia(WB) imesema watu wa nchi za kipato cha chini waliopata chanjo walau dozi moja ni 1.1%
Dkt. Ahmed Ogwell kutoka Kituo cha Kudhibiti Magonjwa Afrika(CDC) amesema idadi ikiendelea kuwa ndogo vituo vya afya vitaelemewa
CDC wameahidi kuendelea kusaidia nchi kuongeza idadi ya watu watakaopata chanjo
Dkt. Ahmed Ogwell kutoka Kituo cha Kudhibiti Magonjwa Afrika(CDC) amesema idadi ikiendelea kuwa ndogo vituo vya afya vitaelemewa
CDC wameahidi kuendelea kusaidia nchi kuongeza idadi ya watu watakaopata chanjo