Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,768
- 4,038
Wanajamvi,
Kama tujuavyo, Septemba mosi 2019, mkuu alikutana na na watendaji wa kata zote nchi, je haya yanayotendeka sasa kuhusiana na huu uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika siku za hapa usoni ni moja ya maazimio na maagizo waliyopewa hawa watendaji?
Inasikitisha sana mambo yanayoendelea, tamisemi imeshindwa kutoa majibuya kujitosheleza. Wamebaki wakisema kama mtu ajaridhika, basi akate rufaa. Je wanashindwa kushughulikia/kuzuia tatizo, je likishatokea ndo wataweza kulishugulilikia? Hizo rufaa zitatupwa hadi 2025.
Kwa haya yanayoendelea, si ajabu majina ya wagombea ubunge na udiwani 2020 yakaenguliwa. Viongozi wa kisiasa kuweni makini.
Nawasilisha
Kama tujuavyo, Septemba mosi 2019, mkuu alikutana na na watendaji wa kata zote nchi, je haya yanayotendeka sasa kuhusiana na huu uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika siku za hapa usoni ni moja ya maazimio na maagizo waliyopewa hawa watendaji?
Inasikitisha sana mambo yanayoendelea, tamisemi imeshindwa kutoa majibuya kujitosheleza. Wamebaki wakisema kama mtu ajaridhika, basi akate rufaa. Je wanashindwa kushughulikia/kuzuia tatizo, je likishatokea ndo wataweza kulishugulilikia? Hizo rufaa zitatupwa hadi 2025.
Kwa haya yanayoendelea, si ajabu majina ya wagombea ubunge na udiwani 2020 yakaenguliwa. Viongozi wa kisiasa kuweni makini.
Nawasilisha