crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,427
- 3,438
Kwa sababu sio wezi. Mwizi akipita na mali mpya mtaan lazima watu wajiulize kaiba wapi
Kwanza unauhakika Ile video ilifutwa kwa kuiba beat? Kwann audio haikufutwa Kama shida Ni beat? Alafu unaongelea subscribers wa mond wakat wimbo upo kwa zuchu, fact uliyoongea Ni advertisement lakin YouTube nisehem ya advertisement tu ndio maana hata ukienda kwenye music platform nyingine WCB bado wanafanya vzr tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Inaonekana una ugonjwa wa Trending no.1, kwa ukubwa wa diamond na followers wake lazima a trend tu
Ila bado nyimbo zake za sasa hazijatoboa na kuna ambayo ilichechemea ku trend..achilia mbali ile iliyofutwa kwa kuba bit
Pamoja na kuwa nyimbo hizo zote zina ad, diamond ana advertise na bado ana followers wengi
Kiba ana subscribers chini ya laki tano, wakati diamond anao zaidi ya 3m unaona gap hili
Kiba hana ad kwenye nyimbo zake diamond ana ad
Kiba is strong, na mashabiki wake ni loyal mno, yaani Kiba hakutakiwa hata kuingia trending
Fact kuwa ana followers wachache sana, hatangazi nyimbo zake utube na bado anaweza kunusa namba moja, huyu sio wa kumdharau ...Diamond anajua hilo sana
Pia wake wengine jamani...wanatoa miziki kila siku na hauoni iki trend
hakuna kipya chini ya jua hata hivyo mwenye idea yake yuko kimya ila kuna watu mnaviherehere kama bao la kwanza.
Wezi???kivipi??? kuna msanii ulishawahi kumsikia akisema ameibiwa na wcb???
Hater mwaminifu. Kwa hilo nakukubali tunaahidi kubadilikaπ.Kazi ya hater ni kukumbusha tu kuna vipya vingi chini ya jua ila akili mnaikalia kwa kisingizio cha hakuna jipya chini ya jua.
Yeah juzi mmefutiwa wimbo kwa wizi. Video ya tanasha ft domo mliiba idea brazil mpaka msanii wa watu akalalamika
Mwambie domo achekeche akili. Mpo trending lakin zuchu hana hata hit song moja
Umefuatilia taarifa vizuri au unasema tu??? Yule mbrazil hakulalamika ila alithibitisha kuwa Diamond aliomba ridhaa ya kutumia kazi yake.
Video ya juzi YouTube walisema kwamba ilifutwa kimakosa na madai ya mlalamikaji hayana msingi.
Hivi nikija kwako nikasema naomba nitumie kazi yako,ukiniruhusu nikatumia nitakuwa nimeiba???
kwanza nikulekebishe jambo moja kuhusu wimbo uliofuta youtube, nikinukuu kauli yako kuwa waliiba beat si sahihi ni upotoshaji wa hali ya juu. Wimbo ulishushwa youtube kwa claim ya tony Anton lakin wcb walituma vithibitisho kuwa wana hati miliki ya wimbo pamoja na video youtube wakajiridhisha wakaupandizha tena wimbo.ππππ Inaonekana una ugonjwa wa Trending no.1, kwa ukubwa wa diamond na followers wake lazima a trend tu
Ila bado nyimbo zake za sasa hazijatoboa na kuna ambayo ilichechemea ku trend..achilia mbali ile iliyofutwa kwa kuba bit
Pamoja na kuwa nyimbo hizo zote zina ad, diamond ana advertise na bado ana followers wengi
Kiba ana subscribers chini ya laki tano, wakati diamond anao zaidi ya 3m unaona gap hili
Kiba hana ad kwenye nyimbo zake diamond ana ad
Kiba is strong, na mashabiki wake ni loyal mno, yaani Kiba hakutakiwa hata kuingia trending
Fact kuwa ana followers wachache sana, hatangazi nyimbo zake utube na bado anaweza kunusa namba moja, huyu sio wa kumdharau ...Diamond anajua hilo sana
Pia wake wengine jamani...wanatoa miziki kila siku na hauoni iki trend
Pale Dabliusibii wewe ndo juma lokole au?
Platnum member kuleta utimu ni aibu kubwa.ππππ Inaonekana una ugonjwa wa Trending no.1, kwa ukubwa wa diamond na followers wake lazima a trend tu
Ila bado nyimbo zake za sasa hazijatoboa na kuna ambayo ilichechemea ku trend..achilia mbali ile iliyofutwa kwa kuba bit
Pamoja na kuwa nyimbo hizo zote zina ad, diamond ana advertise na bado ana followers wengi
Kiba ana subscribers chini ya laki tano, wakati diamond anao zaidi ya 3m unaona gap hili
Kiba hana ad kwenye nyimbo zake diamond ana ad
Kiba is strong, na mashabiki wake ni loyal mno, yaani Kiba hakutakiwa hata kuingia trending
Fact kuwa ana followers wachache sana, hatangazi nyimbo zake utube na bado anaweza kunusa namba moja, huyu sio wa kumdharau ...Diamond anajua hilo sana
Pia wake wengine jamani...wanatoa miziki kila siku na hauoni iki trend
Keep hating miss, seems like hate make you feel good and make you glow. No body can change you.Nilifatilia aliomba copy kidogo lahaula haaaa jamaa akapiga copy and paste mpaka mbrazil akashangaa hakutegemea. Eti bahati mbaya hakunaga hio,video ilifutwa kwa wizi
Keep hating miss, seems like hate make you feel good and make you glow. No body can change you.
Fireeeeeeeeeehakuna kipya chini ya jua hata hivyo mwenye idea yake yuko kimya ila kuna watu mnaviherehere kama bao la kwanza.
FreshPointi imekuingia mkuu. Mtaomba omba hadi lini. Naombea msije mkafikia hatua yakuitwa ombaomba fc
Kwakuwa kia ngoma ya WCB ni kali basi ni lazima mjiulize sanaSiku hizi kila wimbo mpya wa wcb ukitoka unajiuliza wameiba wapi
View attachment 1584059