Ukitaka kufanya biashara yoyote lazima ufanye kwanza market research, ujue kama huko unakotaka kwenda kuuza hizo bidhaa kuna uhitaji kweli? Kama ukijiridhisha pia utaangalia bidhaa unayotaka kupeleka humu ina bei inayoendana na maisha ya wakazi wa huko?
Kama jibu ni ndio basi utarudi kwenye upande wa pili, utaangalia masoko ambapo unaweza kupata hizo bidhaa. Je soko gani unaweza kuzipata hizo bidhaa kwa bei nzuri na bila longolongo? Unakuwa na options nyingi, yawezekana ukawaza China kumbe labda Dubai ungeweza kupata mzigo kwa bei nzuri zaidi na kupunguza gharama (ni mfano tu)
So kabla hujaamua kuwekeza hiyo million 20+ jaribu kufanya mambo hayo muhimu