nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 1,033
- 895
Mbona Polisi hawamo kwenye list yako?Kumi bora zangu katika masuala ya kisiasa, Mwaka 2016 hadi 2020.
1. CCM - (chama)
2. William Lukuvi - (waziri)
3. Anthony Mtaka - (mkuu wa mkoa)
4. Cosato Chumi - (mbunge tawala)
5. John Heche - (mbunge upinzani)
6. Esther Matiko - (Mbunge jinsia ya kike )
7. Mwananchi - (gazeti)
8. Clouds na ITV - (radio na tv)
9. Power Breakfast na Taarifa ya habari ITV (kipindi)
10. Jamiiforums - (mtandao wa kijamii)
Mbona Polisi hawamo kwenye list yako?
Wawepo kwenye ubora?Mbona Polisi hawamo kwenye list yako?
Kama CCM tupo kwenye ubora unawezaje kuwaacha nje wanaotuwezesha kuwa hapo?Wawepo kwenye ubora?
In God we Trust
Mpunguze namba 01,ili polisi uwajaze hapo.Nimesahau, lakini kwenye orodha hiyo sijui ni mpunguze nani? Nisaidie!
Mkuu huogopi?au kwa vile wewe ndiye jamuhuri mwenyewe?Namba moja ilitakiwa isomeke "POLICCM"
Mkuu huogopi?au kwa vile wewe ndiye jamuhuri mwenyewe?
Hapo kwenye ccm mabano andika policcm.Nimesahau, lakini kwenye orodha hiyo sijui ni mpunguze nani? Nisaidie!
Huyo Cosato ndio nani? Au ni rafiki yako umeamua kumpa kiki?Nimesahau, lakini kwenye orodha hiyo sijui ni mpunguze nani? Nisaidie!