Waminshari
Member
- Oct 6, 2011
- 37
- 4
kalagabaho,sitaki kumwaga mtama hapa.Khaaa! Mwaka huu mtazusha sana!..hapa niko nae peke yangu, kazini nilikuwa nae, hao wengi anakuwa nao kwenye ndoto au?
Na ole wako uumwage wakati waona kuku wamejaa hapa!..kalagabaho,sitaki kumwaga mtama hapa.
Mnaonewa asee! Ukweli ni mdogo sana!Jamani hebu tuongeeni ukweli wanaume humu haya mambo tunaonewa kweli? Au ni ukweli halisi tulio nao.
lakini usijisifu nae,wakati wenzako wanakun'gong'a.kumbuka kikulacho.ila sisemi zaidi.wewe endelea kujishebedua nae tu.sina zaidiNa ole wako uumwage wakati waona kuku wamejaa hapa!..
Hahah sitaki kuamini sred imeshachakachuliwaAhaaaa....nipake wapi wakati mimi mwenye mweupe kama karatasi za A4
Hahah! Si wamwona TF keshanipiga mkwara? Yaan leo ntawatetea mpaka mtoa mada abadili mada..lol
Hahaha!...taratibu mke mwenza watanistukia bana... Si wajua hizi tarehe habari gani hugeuka kuwa how are you?.. Siri yako lakini...Ama kweli mwisho wa mwezi kuna mamboi! Naona uko kimkakati mke mwenza! Full kufyagilia!
Sio siri tena ngoja nimtafute Kisukari kwanzaHahaha!...taratibu mke mwenza watanistukia bana... Si wajua hizi tarehe habari gani hugeuka kuwa how are you?.. Siri yako lakini...