10 Toxic people to avoid

Lazima utake usitake utaishi na hawa watu, usitudanganye mchana kweupe! namna hii, hawa hawakwepeki.

Cha msingi kuwa makini tu na taratibu zako za kimaisha, usiwe mwongeaji kupitiliza ndo dawa. yule una muona gossiper yeye ana kuona wewe nio scorner uliyetukuka.ngoma draw hapo je mtakwepana?

Haya makundi ya watu ndo yatakupa changa moto ya wewe usonge mbele kimaisha, kuna usemi unasema ''watu nia mali'' je una taka wana JF wasiwe na mali? bila hawa utaridhika sana na vidogo ulivo navyo. kumbuka usilipize kisasi. wengine wanakufanyia hawajijui wanacho fanya

ufanyeje sasa? wewe km wewe?

BE POSTIVE EVERY WHERE, ANY TIME. LOVE THEM ALL. TRUST FEW hata mtu akikurudisha nyuma kivipi mwambie tu alichokufanyia, huja penda then songa mbele akihitaji msaada mpe ulio ndani ya uwezo wako. siyo ngumu km watu wasemavyo.

Hata ukjichimbia kaburini ukae mwenyewe kukwepa watu hao! utaona ni afadhali Duniani kule utakutana na nyenyere, tena gizani huwaoni, mchwa, udongo, joto wakati umebanwa na Sanda nk vitakuzonga zonga tu mpaka ukome. hayo uloyasema hayajawahi kumsaidia mtu yeyote hapa Duniani. toka ulimwengu wa kale mpaka ujao.
 
Nimefanyaje mheshimiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…