Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu,Invisible,
Achana na hii list ya huyu taahira anayejifanya kuwa ni conservative; Bernard Godberg.
Hebu tutengeneze list yetu ya watu 100 who are Screwing Up Tanzania?
1.J. M. Kikwete
2. Rostam Azziz
3. Edward Lowassa
4. Chenge
Add yours
Nimeianzishia madaHakuna haja ya analysis zaidi, wezi wetu tunawajua, ongezea kwenye orodha:- Idris Rashid, Nazir Karamagi, Gray Mgonja,Basil Mramba, Daniel Yona, Peter Noni, Nimrod Mkono, Subash Patel na nyie wengine ongezeni hao majasusi.
Mkuu,
Ukisha-download kitabu hiki na kusoma analysis aloifanya mwandishi, basi itakuwa rahisi kwetu kama watanzania kutoa analysis ya watu 100 wanaoi-screw Tanzania. Tutakuwa hatuwatendei haki kuwaandika majina tu bila kutoa maelezo wanai-screw nchi kivipi
Mkuu,
Ukisha-download kitabu hiki na kusoma analysis aloifanya mwandishi, basi itakuwa rahisi kwetu kama watanzania kutoa analysis ya watu 100 wanaoi-screw Tanzania. Tutakuwa hatuwatendei haki kuwaandika majina tu bila kutoa maelezo wanai-screw nchi kivipi
Hakuna haja ya analysis zaidi, wezi wetu tunawajua, ongezea kwenye orodha:- Idris Rashid, Nazir Karamagi, Gray Mgonja,Basil Mramba, Daniel Yona, Peter Noni, Nimrod Mkono, Subash Patel na nyie wengine ongezeni hao majasusi.
huyu daniele yona ana sifa gani hapa Tanzania?