thomas_360
JF-Expert Member
- Oct 11, 2015
- 1,458
- 1,432
Hahaha mzee umenifanya niende kuangalia like zangu
Sijawahi zicheki kitambo
Nna like 21000
Ooh! Eti haikuwa rahisi [emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi kuna tofauti ya Point na Likes, siyo?Hahaha mzee umenifanya niende kuangalia like zangu
Sijawahi zicheki kitambo
Nna like 21000
Hivi kuna tofauti ya Point na Likes, siyo?
Hivi kuna tofauti ya Point na Likes, siyo?
Hata sijui mzeeHivi kuna tofauti ya Point na Likes, siyo?
View attachment 1194942
Endela kupost ztafika 2k
Mkuu mimi hapo kwenye like nimekuzidi ila trophy point ila kiukweli sielewe huwa zina faida yeyote? Anaejua atujueze kwa faida ya sisi tusiofahamuNawashukuru wote ambao mmechangia kwa mm kuweza kufikisha point 1000 haikuwa rahisi Ila yote ni kwa sababu ya kuona umuhimu wa kile ninachopost au kucomment!! Thanks again!!!
Unaweza ukachukulia kama ni ujinga Fulani lakini kwangu ni kitu kikubwa!! View attachment 1194905
baada ya hapo unaenda m-pesa, au vipi!Yah!! Soon nitakuwa na 2000 maana nikifikisha post 1000 nazawadiwa 1000 point kama sijakosea
Kama ni mtumiaji wa huduma za kifedha nasikia huwa zinageuzwa kuwa shilingi.Mkuu mimi hapo kwenye like nimekuzidi ila trophy point ila kiukweli sielewe huwa zina faida yeyote? Anaejua atujueze kwa faida ya sisi tusiofahamu
Zina ongeza kipato cha mtu ?Hahaha mzee umenifanya niende kuangalia like zangu
Sijawahi zicheki kitambo
Nna like 21000
Mkuu mimi hapo kwenye like nimekuzidi ila trophy point ila kiukweli sielewe huwa zina faida yeyote? Anaejua atujueze kwa faida ya sisi tusiofahamu
Hapo ndipo sijuiZina ongeza kipato cha mtu ?
So ukizitoa unaanza na moja?Kama ni mtumiaji wa huduma za kifedha nasikia huwa zinageuzwa kuwa shilingi.
Ooh! Eti haikuwa rahisi [emoji23][emoji23][emoji23]