Sababu mikataba kumalizika na mchango katika timu.
1. Wawa
2. Onyango
3. Bwalya...
Mmeanza ramli chonganishiSababu mikataba kumalizika na mchango katika timu.
1. Wawa
2. Onyango
3. Bwalya
4. Mugalu
5. Kagere
6. Banda
7. Morrison
8. Nyoni
9. Bocco
10. Gadiel
11. Mzamiru
Sababu mikataba kumalizika na mchango katika timu.
1. Wawa
2. Onyango
3. Bwalya
4. Mugalu
5. Kagere
6. Banda
7. Morrison
8. Nyoni
9. Bocco
10. Gadiel
11. Mzamiru
Mkuu jaribu kutumia akili hata kidogo tu.Huyu ndengelesi ni mshabiki wa wafuga ng’ombe fc,acha kushobokea timu ya wanaume simba hua haiachi wachezaji wengi kiasi hicho kwa msimu mmoja,wachezaji wakuachwa hapo ni wawa,Onyango,Mugalu,Nyoni na Gadiel tu
Viwango vyao havipishani sana na wa hapa ndani.Watoeni wageni watano pale wawekwe wa hpahapa pesa izunguke hapa hapa bongo yetu
Wachezaji 12 kuchukuwazaid milion 200 kila mwezi hzo pesa Ni nyingi San ifanyike namna pesa zibaki hapa na wachezaji wazawa wapewe kipaumbele
Taifa letu Bado Ni Chang San kuruhus wachezaji 12 wa kigeni Kuja kuchota mamilion hap kwetu
Keny Wal Uganda hawanaga uupuuzi Kama huu Happ na Bado hzo timu zao za taifa hatuziwezi hat wakicheza pungufu watatufunga tu