Elections 2015 12 July 2015 Ni Tarehe Ambayo Tanzania Imepata Uhuru Mara Ya Pili Kutoka Kwa Wala Rushwa

Duh...poti weee.....
 
Umeshamjua mkuu?
Mkuu Britanica, kwanza nilisisitiza humu
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!. - JamiiForums

Kisha nikataja aina mbili za wasiojulikana.
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!. - JamiiForums

Kisha nikasema sisi waandishi wa habari wenye uwezo wa kufanya IJ, tunaweza kuwabaini.
Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija - JamiiForums

Na mwisho nikasema, watu wenye uwezo wa kuwabaini wasiojulikana hawa, wapo, ila serikali yetu haijashindwa, kuwabaini, ikifikia mahali ikashindwa, itasema na itaomba msaada, watu wa kusaidia watajitokeza.

WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? - JamiiForums

Tena nikasisitiza watu humu jf wapo sana tuu wenye uwezo wa kusaidia
TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums

P.
 
Nimeona kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…