U ustadhijuma JF-Expert Member Joined Jul 20, 2015 Posts 3,021 Reaction score 1,978 Nov 27, 2016 #1 Jamaa alikuwa anapita nje ya wodi ya vichaa akasikia mtu anasema, 13, 13, 13, 13, 13, 13,….. akaamua kuchungulia kwenye kitundu alichokiona ajue kuna nini, ile kuchungulia tu akamwagiwa mchanga wa machoni, sauti ikabadili ikaanza 14,14,14,14,14……
Jamaa alikuwa anapita nje ya wodi ya vichaa akasikia mtu anasema, 13, 13, 13, 13, 13, 13,….. akaamua kuchungulia kwenye kitundu alichokiona ajue kuna nini, ile kuchungulia tu akamwagiwa mchanga wa machoni, sauti ikabadili ikaanza 14,14,14,14,14……
flintsky JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 654 Reaction score 746 Nov 27, 2016 #2 ina maana jamaa ndio kahesabiwa 14 akija mwingine anakuwa wa 15