Kuna watu wana miss leo very conspicuously. Nimewamiss pia popote walipo jamani.
NASHUKURU SANA HOMEBOY,Wakoloni gesti hausi....mzee! hii kitu mnaikimbiza sana.........wazee! si na mabokisi tunashindwa kunata na beats!
XPIN + VALEUR == CNN 24HRS, au KLM WORLWIDE, kila nchi ina kituo.Si mtaniulia kaka yangu huyo jamani maana mawifi wapya mko watatu na wa zamani ni wa nne kwa wiki kuna siku 7 gawanya kwa 4 unapata 1.75 kwa hiyo kila mmoja anapata siku moja masaa 7 na dakika 5 ya zamu ndani ya wiki moja yeuwomiiiiiiiii kaka Xspin ninakupoteza hivihivi...............
Si mtaniulia kaka yangu huyo jamani maana mawifi wapya mko watatu na wa zamani ni wa nne kwa wiki kuna siku 7 gawanya kwa 4 unapata 1.75 kwa hiyo kila mmoja anapata siku moja masaa 7 na dakika 5 ya zamu ndani ya wiki moja yeuwomiiiiiiiii kaka Xspin ninakupoteza hivihivi...............
Hahaha! Ogopa kitu kinachoitwa pesa! Acha kabisa!
Hehehehe hii pesa nawasi wasi kuna wapwa tunaweza kuwakosa hivi hivi na wengine mahusiano yakafa.
Wakoloni gesti hausi....mzee! hii kitu mnaikimbiza sana.........wazee! si na mabokisi tunashindwa kunata na beats!
XPIN + VALEUR == CNN 24HRS, au KLM WORLWIDE, kila nchi ina kituo.
kwakweli kutoka moyoni nisingependa hili litokee.....!Hehehehe hii pesa nawasi wasi kuna wapwa tunaweza kuwakosa hivi hivi na wengine mahusiano yakafa.
Tukutane tegeta by night. Mi mwongozo huwa nautoa kwa umakini zaidi kama ntakuwa naiangalia chupa ya serengeti ikiwa imejaa bia baridi na mhudumu akiwa ananiuliza: Niweke rosti au niikaushe?wakuu wangu milo kwenye ndoa tayari,tunategemea sana ushauri kutoka kwenu!
tunatishiwa(au pengine ndiyo ukweli) kwamba ndoa ni chungu sana lakini tunashangaa hamtangazi devorce!
MHESHIMIWA CARMEL,X-PIN,NEXT LEVEL,KAIZER naombeni mwongozo tafadhali....!
Binamu unajua chingereza si lugha yetu hapo maana yake nini Binamu Kizer kwenye red????unanitoa nishai mtu mzima aiseeee
Well noted! G_P tafadhali hebu ifaili hii kwa matumizi ya kiofisi hapo baadaye!kwakweli kutoka moyoni nisingependa hili litokee.....!
IDUMU BOND YETU YA WANYWA BIA NA WADUMISHA MILA
BASI HAINA SHAKA MKUU WANGU!Tukutane tegeta by night. Mi mwongozo huwa nautoa kwa umakini zaidi kama ntakuwa naiangalia chupa ya serengeti ikiwa imejaa bia baridi na mhudumu akiwa ananiuliza: Niweke rosti au niikaushe?
hahahaha!Well noted! G_P tafadhali hebu ifaili hii kwa matumizi ya kiofisi hapo baadaye!
Nasubri mchango wako wewe hapo
Na ile kitu yetu nimeshaibadilisha! Sasa hivi ulanzi unakamata nafasi ya vitochiz!hahahaha!
haina shaka mkuu wangu
THE PUMPKIN OF THE HOMESTEAD MUST NOT NOT BE UPROOTED
Hivi rector wako alikuwa anaitwa nani vile?natumia fursa hii kuwakumbushia tu marafiki wote kwamba UNIT IS STRENGTH!itapendeza sana kama tutadumisha umoja huu
kuna raha leo,kuna matatizo kesho!friends will always be THERE FOR YOU