13 february 2010

Join Date: Sat Mar 2008
Location: At Any Bar Counter
Posts: 4,565
Thanks: 671
Thanked 1,006 Times in 737 Posts
Rep Power: 31



Re: 13 february 2010
sasa HATERS wakiona hivi WANAJENGA BIFU NA WAPWAAZ!...hii dunia ina mambo,ninyi acheni tu!

kila siku tunaanzishiwa thread humu ndani....!lol
 
sasa HATERS wakiona hivi WANAJENGA BIFU NA WAPWAAZ!...hii dunia ina mambo,ninyi acheni tu!

kila siku tunaanzishiwa thread humu ndani....!lol

Teh teh hebu niangalie profile yangu na mie nione lol
 
Wapwaaz for real
wapwaaz for life
wapwaaz for thanks
 
sasa HATERS wakiona hivi WANAJENGA BIFU NA WAPWAAZ!...hii dunia ina mambo,ninyi acheni tu!

kila siku tunaanzishiwa thread humu ndani....!lol

Wao wanachonga si tunasonga mbele,
Videbe watavipiga kwa vyao kiherehere,
Si tunachana leo jana na siku ile,
Wapwaz twashikamana twasonga kivilevile,
mabifu hatuyataki kwa watu wa jinsi ile,
...............
 
Wao wanachonga si tunasonga mbele,
Videbe watavipiga kwa vyao kiherehere,
Si tunachana leo jana na siku ile,
Wapwaz twashikamana twasonga kivilevile,
mabifu hatuyataki kwa watu wa jinsi ile,
...............
wape verse wapwaaz kwamba ni lazima tujifunze kuwa pamoja,

TWENDE KAZI MC-LEMA..........
ONE TWO ONE TWO..........
 
thanks thanks thanks wapwazz thanks, binamuz thanks till we die...haters ha ha ha
 
wape verse wapwaaz kwamba ni lazima tujifunze kuwa pamoja,

TWENDE KAZI MC-LEMA..........
ONE TWO ONE TWO..........

Ulanzi waandaliwa wapwa tumejiandaa,
Tutasonga kwa pamoja kwa kasi kuubugia,
Wo!wo!Wo! kadhalika wapwa tutazivamia,
Mishikaki ya mihaja pilipili na bamia,
Wenye wivu watakoma njiani watakwamia,
Kiongozi niko hima jahazi kulivamia,
Tutachana bia na ulanzi sukumia,
Mshiki atafurahi kuanzisha familia
Hahaha! Ahahaha!
Tutachanachana Makambako itavuma!
Umeme ukikatika wapwa tutapapambia
......
 
YEEEEEAAAAAH!
AHAAAAAA!
YIAAAH!
wee ni baab kubwa au sio wapwaaz?!...x-pin ni bab-kubwa
 
YEEEEEAAAAAH!
AHAAAAAA!
YIAAAH!
wee ni baab kubwa au sio wapwaaz?!...x-pin ni bab-kubwa

Mi ni bab kuwa hata wao wanajua,
Kama hawajajua bado muda watajua,
Mimi ndie ze pilar hakika wanalijua,
Na kwa upillar wangu hakuna tayepotea
Yeah! Apotee wapi kundini atarudia?
Atarudi kwa upole na heshima tutamtia,
Sisi ni ndugu moja yanini kupotezea,
Malijendi watatamba ushindi watajipea,
Tutasambaratikaje mashujaa wa jukwaa?
Umoja kwetu silaha wapwa tuwe na nia,
Hahahaha! Nacheka huku nalia...?
...................
 
yeyoooooo!
gimmie mic,huh!
wapwaaaz are the best lyk hardock in th middle east,
wapwaaz gotta the uniques,wapwaaz being the greates
cuz wapwaaz getting the credits,thought haters keep up on diss
u can dis and dis guys though you'll never win to wapwaaz
wapwaaz making the forum,wapwaaz r lyk corner stone
wapwaaz r there for geoff,and geoff s' always for wapwaaz
 

Ngoja niikonsalti TUKI yangu afu nirudi hapa! Umemwaga kiblurei cha kufa mtu hapa!
 
Mpwa nakuona unajibongoflavisha hapa. Hongera natumai siku ya arusi utatutumbuiza wakati wa maakuli.
 
hahahaaaaa, nimekupata mamaaa shishi,
hebu NIKISS basi japo kwa mbali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…