hahahaaaaa, nimekupata mamaaa shishi,ahahahah hata maguuest pia??? eh kweli uko mkarimu sana...kwanza mods waweke vibatani vya hug ,kiss na blush etc....kuna post zingine bwana we unawish ungemu hug mwanzilishi ahahahhahahah...hebu wasilisha hili kwa mods. basi tu tunabakia ku blush at the monitor!!!!
Mpwa nakuona unajibongoflavisha hapa. Hongera natumai siku ya arusi utatutumbuiza wakati wa maakuli.
hahahaaaaa, nimekupata mamaaa shishi,
hebu NIKISS basi japo kwa mbali, mi ndio nilianzisha hii sredi
Laiti ingekuwa mtu unawezajigongea mwenyewe ...... saa ingine mtu unajipiiiiinda kumwaga vyoint but watu wanakulia bati tu😕vinara wa thenksi hawa hapa:
1MaxShimba5,057
2Mzee Mwanakijiji1,725
3Exaud J. Makyao1,040
4Chrispin1,014
5Field Marshall ES1,000
HONGERA X-PIN
UNATIZAMIKA MKUU
siri moja ya kupata SENKSI nyingi ni kwamba usiwe MCHOYO WA SENKSI!...fuatilia hao watu utagundua sio wachoyo wa senksi...Laiti ingekuwa mtu unawezajigongea mwenyewe ...... saa ingine mtu unajipiiiiinda kumwaga vyoint but watu wanakulia bati tu😕
i am expecting to have my wedding mass at 15:00hrs at 13th-feb-2010,PAROKIA YA MAKAMBAKO-IRINGA
Laiti ingekuwa mtu unawezajigongea mwenyewe ...... saa ingine mtu unajipiiiiinda kumwaga vyoint but watu wanakulia bati tu😕
ahsante kwa kunipa moyo mamii.......Geoff kumbe wewe ni Makambako line?
Karibu sana kwenye jumuiya ya ndoa, ndoa tamu bana !!!
vinara wa thenksi hawa hapa:
1MaxShimba5,057
2Mzee Mwanakijiji1,725
3Exaud J. Makyao1,040
4Chrispin1,014
5Field Marshall ES1,000
HONGERA X-PIN
UNATIZAMIKA MKUU
watajua wao!SONGA MBELE.....Nimeisoma Kaka! Usisahau kunipongeza kwa ile kitu ya baridi! Hahaha! Kumbe na mimi lijendi? Basi kuna mamjamaa yakiona hivyo yatachonga wakati sisi tunaendelea kusonga mbele! SENKSI!
watajua wao!SONGA MBELE.....
wapwaaz FOR LIFE
HAHAHA!leo matron mkuuAfu na siku nyingi sana sijakuona ukinywa bia. Umeokoka?
Leo lazima tumtembelee Matron
Au Eliza
Au Halima
Au Aika.
You can Say that Again! Reds atafunguliwa na ankal mwenyewe. Kina Matron wanatakiwa kukaa si pungufu ya nita kumi toka alipo mshiki!HAHAHA!leo matron mkuu
sasa utapita morogoro road
plan yangu ni kuja na mshiki walau umnunulie reds kadhaa
hehehehe!more security MORE FLAVOURZ!...MORE BEERS MORE CHICKENS...You can Say that Again! Reds atafunguliwa na ankal mwenyewe. Kina Matron wanatakiwa kukaa si pungufu ya nita kumi toka alipo mshiki!
duh!Geoff nimefarjika na sapoti unayoipata kijana
Nami ni mmoja wa wanaokusapoti
Pesa na ushauri yote ni muhimu
Usibague hata moja kwani yote yana thamani
Watafika kwenye sherehe na watakaokosa
Wote ni wamoja husimtenge hata mmoja
Maisha si harusi tu kliniki bado mama ataenda
Atakutana na mke wa Nguli, Xpin au Pakajimmy
Watamuazima hepron ya kumbebea mwana
WaJF wote uwashukuru kwani wanastahili pasipo ubaguo
Harusi ni shughuli pevu ila maisha ndo yaliyopevuka zaidi
Husiache kuchukua ushauri kwa waliokwisha onja ndoa
MJ1 yeye hakika anafaa, FL1 kando husimweke
Nguli na Xpin wa muhimu pia, PJ ana busara timilifu
Veracity na Buchanan pia ni mhimili, Sinkala ndoa bado changa
Wengine wengi wapo husikose wao ushauri
Hakuna wa kusikiliza magomvi ya Bw&Bi Geoff
Baraka zote tunaziachilia hadi ukamilifu wa dahari
Mungu umweke mbele kwa kila la familia yako
Busara zikuongoze ujana hukupungue
Mawindo mitaa ya kati upunguze ili furaha idumu
Siku zimewadia punguza presha tukio la kawaida
Nyingi tumeshuhudia tarumbeta hadi tarumbeta
Sindimba, Samba hadi Kiwazenza hadi RB
Ya kwako wewe itanguliwe na Ulinzi wa Mola
Haya mengine hakika ni ziada na sio ya kiada
Husigharamike hadi kubaki na mikopo kama bodi ya mikopo
Beti hazijakwisha ila muda wa internet umekwisha
Nazidi kukutakia la kheri na ulinzi wa aliye juu
Salama ufike na shughuli ifane Elinino ipite mbali
Fidel, Kaizer mmenikodolea mchango mnauliza
Kwanza nimeanza na huu mwingine hakika utafwata
Siku si nyingi ilo nalitumbau, na wengine wote mlitambue
Pamoja mkuu ni mazingira tu ndio yananyim mjumuiko but together we can make the most of itduh!
respect mkuu wangu SIPO
naona hii kitu unaiweza wewe.....
tupo pamoja
muone kaizer au fidel au js just in case ukiwa kwenye position
inaonekana upo mbali sana,ngoja nikupigie..........Pamoja mkuu ni mazingira tu ndio yananyim mjumuiko but together we can make the most of it