mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Ni jumapil sio kesho mzeeHabari ndo hiyo!! Wazee wa nusu pointi huko caf kesho kinanuka! Poleni maana jumapili ya tarehe 23/10/2022 hakuna jinsi inabidi tutoneshe tu hicho kidonda toka sudan!!
Asante ngoja nihariri!Ni jumapil sio kesho mzee
Iwe mvua iwe juaHata kichwa cha mwendawazimu kinagoma kuamini kuwa yanga itafuzu makundi!! Ni mwanga tu anayeweza kuamini hivyo!!
Si hao uto!! Huko caf point walizokusanya ni 0.5 na kwenye msimamo ni wa zaidi ya sabini huko, hata namungo wako juu yao!! halafu wanadanganyana kusonga mbele!! Yule mtu wao anadai: Iwe mvua liwe jua!!Nani..? Hawa ndugu zetu wa 0.5. ? Fafanua kidogo