Wachina tulishawatafuna vya kutosha kwenye FOCAC, pamoja na nyie kuambulia dili la uvuvi wa samaki, hivyo mrudi tu huko na kujaribu kutongoza zaidi, mjaribu kuwa makini msiishie kukenua meno na kutoka kapa kama ilivyo kawaida yenu.Kesho ndio maonesho ya kibiashara baina ya nchi za Asia na china yanaanza rasmi. Tanzania ni nchi pekee ya kiafrika imekaribishwa. Haya hapa ndiyo maandalizi ya Tanzania
Wakenya tunawaomba mtuvumilie tu. Huu ni wakati wetu
Ume quote kwa maumivu makali😂😂😂Wachina tulishawatafuna vya kutosha kwenye FOCAC, pamoja na nyie kuambulia dili la uvuvi wa samaki, hivyo mrudi tu huko na kujaribu kutongoza zaidi, mjaribu kuwa makini msiishie kukenua meno na kutoka kapa kama ilivyo kawaida yenu.
Tuendelee tu kuvitayarisha vichwa vyetu kwa ajili ya kunyolewaKesho ndio maonesho ya kibiashara baina ya nchi za Asia na china yanaanza rasmi. Tanzania ni nchi pekee ya kiafrika imekaribishwa. Haya hapa ndiyo maandalizi ya Tanzania
Wakenya tunawaomba mtuvumilie tu. Huu ni wakati wetu
Dili kali kali ya 30KmWachina tulishawatafuna vya kutosha kwenye FOCAC, pamoja na nyie kuambulia dili la uvuvi wa samaki, hivyo mrudi tu huko na kujaribu kutongoza zaidi, mjaribu kuwa makini msiishie kukenua meno na kutoka kapa kama ilivyo kawaida yenu.
Mwenye wivu ajinyonge sana.....mwenye wivu ajinyongeeee...[emoji23]Wachina tulishawatafuna vya kutosha kwenye FOCAC, pamoja na nyie kuambulia dili la uvuvi wa samaki, hivyo mrudi tu huko na kujaribu kutongoza zaidi, mjaribu kuwa makini msiishie kukenua meno na kutoka kapa kama ilivyo kawaida yenu.
Wachina tulishawatafuna vya kutosha kwenye FOCAC, pamoja na nyie kuambulia dili la uvuvi wa samaki, hivyo mrudi tu huko na kujaribu kutongoza zaidi, mjaribu kuwa makini msiishie kukenua meno na kutoka kapa kama ilivyo kawaida yenu.
[emoji2] Jamaa anatamani afute maneno yake... ukisema hivyo anatimua vumbi kuelekea kusiko julikanaAhaaa haaa haaa
mzee wa dili kali kali ya meta 30k.
[emoji2] Jamaa anatamani afute maneno yake... ukisema hivyo anatimua vumbi kuelekea kusiko julikana
Mwenye wivu ajinyonge sana.....mwenye wivu ajinyongeeee...[emoji23]
Nyie ndo mmetafunwa au mmetafuna mpaka wabunge wenu wanalia kwamba mmejiuza wenyewe kwa mchina harafu wewe unatroll jfTuone wivu kwa lipi, hehehe kwa dili ya kuvua dagaa wakati sisi tulimtafuna Mchina akatafunika.
China ni nchi kubwa sana, huwezi kuitafuna ukaimaliza. Cha msingi ni kwamba, kama mzinga wa nyuki haupo tena, usitemee kupata asali.Tuone wivu kwa lipi, hehehe kwa dili ya kuvua dagaa wakati sisi tulimtafuna Mchina akatafunika.
China ni nchi kubwa sana, huwezi kuitafuna ukaimaliza. Cha msingi ni kwamba, kama mzinga wa nyuki haupo tena, usitemee kupata asali.
Ukizungumzia kuvua samaki pekee, basi hujuwi Tanzania na China na wanafanya biashara gani. Nyinyi kubalini tu, bila kuwapa Mombasa na JKIA hawaji.Nimesema imetafunika sio kwamba tumeimaliza, bado tutarudi huko, ila mjifunze utoka kwetu jinsi ya kutafuna sio kwenda kucheka na kuzuga na madaftari halafu mnaambulia uvuvi wa dagaa.