15th China-Asean Expo Tanzania Imekaribishwa.

Nimesema imetafunika sio kwamba tumeimaliza, bado tutarudi huko, ila mjifunze utoka kwetu jinsi ya kutafuna sio kwenda kucheka na kuzuga na madaftari halafu mnaambulia uvuvi wa dagaa.
Saying a monkey from kenya.
 
Kesho ndio maonesho ya kibiashara baina ya nchi za Asia na china yanaanza rasmi. Tanzania ni nchi pekee ya kiafrika imekaribishwa. Haya hapa ndiyo maandalizi ya Tanzania

Wakenya tunawaomba mtuvumilie tu. Huu ni wakati wetu
So true walahi!
 
Hiyo hapo Tanzania bendera inapepea juu juu kabisa

 
Halafu kuna wenzetu wa nchi jirani wamebaki kulia kulia wakiitwa Ngedele. Can't you take a joke?

 
Nyie ndo mmetafunwa au mmetafuna mpaka wabunge wenu wanalia kwamba mmejiuza wenyewe kwa mchina harafu wewe unatroll jf

Ahaaa haaa haaa
huyu hajielewi bro, hapo mnaweza kubishana mpaka kesho wakati ukweli uko wazi ile SGR imetekwa na wenye YAO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…