Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,475
- 1,860
hakuna, ni Efm pekee wanatangazaAzam wataonesha kupitia ZBC2
Kufungwa kamba ama jela.Azam bado hajafungwa tu?
Naomba Mungu yanga afungwe hata 50 kama inawezekana..Kila lakheri Azam
Sio zbc ndo watarusha kupitia azam?Mkuu naona wadau wanasema Itarushwa na Azam kupitia ZBC 2!
Azam ataaga mashindano.Kama game ikiisha hivi hivi nini kinafuatia kwa Azam?
Jee atakua katoka?