Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Home US..nchi gani hii sijui ..
...nchi gani hii sijui ..
Chatonchi gani hii sijui ..
kwa nilivyoelewa mimi...
Imeielewa vipi! ! hii english ya shakespear!! please ebu niume sikio!kwa nilivyoelewa mimi...
Kweli. Nimeingeza kitu hapo, leo hii ndo nafahamu kuwa neno lofa limetoholew kutoka kingereza loaferHiyo old US English ni ngumu na ma slang yake dadeq!
[emoji16][emoji16][emoji16]
Imeielewa vipi! ! hii english ya shakespear!! please ebu niume sikio!
Daaa! sawa kaka mkubwa!! mliosoma enzi za mkoloni mlifaidi sana!!...... kimbembe ni hizi shule za kata Maweeee!! sijui zamani za ''UPE ndo kabisaaa!!! yaani Elimu ya Bongo bana!! siki hizi ukienda hapo tu south unapigwa msasa upya!zamani shule nilikuwa drama club. play za 'hamlet', 'romeo and juliet' 'othello' nilizisoma soma kidogo nakupata japo kitu.
ingawa hicho kipande nilichotafsiri nimefanya hivyo kuweka ka context ya kibongo bonge. najua 'wench' maanake ni mhudumu au mfanyakazi wa kike kwa english ya zamani, ingawa ilitumika zaidi pia kumaanisha makahaba. nikajiongeza tu kwenye kutafsiri kwa sababu ya kuleta ujumbe kwetu wazee wa kushika shika mabaamedi
😀 sijasoma enzi za mkoloni mkuu. labda sikutakiwa kutumia neno 'zamani'. nna miaka 36 tu 😀😀 huenda hata wewe umenizidi umri 😀😀Daaa! sawa kaka mkubwa!! mliosoma enzi za mkoloni mlifaidi sana!!...... kimbembe ni hizi shule za kata Maweeee!! sijui zamani za ''UPE ndo kabisaaa!!! yaani Elimu ya Bongo bana!! siki hizi ukienda hapo tu south unapigwa msasa upya!
Ila Elimu ya south ukienda UK! ni ajira moja kwa moja!
Yaani mkuu! sheeda sana hizi shule zetu wewe!! umesoma Tanganyika IST ile ya masaki nini? manake sisi bana ni huko mbwinde huko karibu na Lukunyu! au kikomera!! kule bana gari halifiki!!😀 sijasoma enzi za mkoloni mkuu. labda sikutakiwa kutumia neno 'zamani'. nna miaka 36 tu 😀😀 huenda hata wewe umenizidi umri 😀😀
Naluelewa mkuu. Nilisoma shule nzuri sana kwa kweli, nadhani inaendana na IST 😀😀. Darasani tukiwa 30 tunaonekana wengi sana. Aina ya shule nnayotamani wanangu wasome pia. Wanafunzi wanachochewa kuwa wabunifu. Walimu wanafundisha kwa nia na kujadiliana na wanafunzi, siyo kufoka foka na fimbo. Ubunifu unapewa kipaumbele na kila somo linaumuhimu sawa na lingine siyo yale mambo ya 'sciences ni bora kuliko arts' na kila mwanafunzi anaaminishwa atatoboa katika sekta yoyote apendayo. Library ina vitabu kama vyote so nilikuwa nashinda huko nasoma kila topic niipendayo kuanzia wanyama na samaki, hollywood film industry hadi shakespeare (hii yote ni kujisomea mwenyewe siyo kusukumwa usome).Yaani mkuu! sheeda sana hizi shule zetu wewe!! umesoma Tanganyika IST ile ya masaki nini? manake sisi bana ni huko mbwinde huko karibu na Lukunyu! au kikomera!! kule bana gari halifiki!!
yaani unatembeaaaaaa!! unafika mahali unapanda kimtumbwi cha kuendesha mwenyewe! ukifika ng'ambo ya pili unakiacha hapo! unatembea tena mbele ivovivo! mpaka unavuka vivuko km 4 ivi! ndo unafika kijijini kwetu kuzuri sana hallow!
Hiyo habari mie naona ni kizungu mkuti tu! kwanza nashukuru kukaa mjini Bongo!! kamwe sikutamani tena kurudi kule hallow! ebu fikiria mjini nyama kila siku! tena fresh! chai kila siku,tena na vitafunwa! kule sukari mbinde!!
zahanati ya kijiji bado ina sindano za kuchemsha! tena wana noa kwenye jiwe lilee la kunolea panga! lkn nilipokuja huku mjini lool! raha ilioje sindano zinatupwa! kamwe sintarudi asante shule!