Chuo cha St Joseph kimebandika majina ya wanafunzi ambao wanaendlea na masomo chuon hapo ktk program ya 5 years degree waliopata mkopo kw mwaka wa masomo 2014/2015 huku idad hyo ikikadiriwa kama robo tatu ya wanafunzi walioomba kupitia heslb...hongereni
Inamaan loan board wmeanz kuachia mambo?
Daaah mwnng embu nielkz jnc ya kuanglia
hivi huu ni uandishi gani? aaaa
ni kweli majina yametoka lakini la kusikitisha majina ya wanachuo waliokuwa wana sup hawakupewa mikopo je tatizo ni nini?
ndiyo mkuu nipo hapo
Majina mbona cyaoni ??Inamaan loan board wmeanz kuachia mambo?