1884 wazungu waligawana bara la Afrika kama vipande vya pizza

1884 wazungu waligawana bara la Afrika kama vipande vya pizza

Chimo

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2008
Posts
714
Reaction score
361
1479511361315.png
 
Ina maana Ethiopia Haikutawaliwa ila Eritrea ilikaliwa na Mtaliani
 
Sababu sisi tulikuwa gizani iweje wao wachache waliweza kututawala wengu
 
Zanzibar Islands are not indicated on the map. Were they not part of the territories divided during the Berlin conference of 1884/1885?
 
Ina maana Ethiopia Haikutawaliwa ila Eritrea ilikaliwa na Mtaliani
Ethiopia haikutawaliwa maana ethiopia chini ya utawala wa haile Selassie walivamiwa na waitaly chini ya Benito Mussolin lakini waethiopia walifanikiwa kuipiga Italy ndio maana Ethiopia haikutawaliwa na wakoloni
 
Back
Top Bottom