1959 ufunguzi wa Lindi Secondary School iliyofunguliwa na Gavana Richard Turnbull

1959 ufunguzi wa Lindi Secondary School iliyofunguliwa na Gavana Richard Turnbull

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1640576071863.png
 
Kuuliza tu, je hiyo sekondari bado ipo?

Vipi perfomance yake? Ni akina nani wanakumbukwa kusoma pale.

Pengine hii ilikuwa maalum kwamba wasome vijana wa huko ili wapeleke maendeleo kwao.
Hayo ya kusoma vijana wa huko hayakua yakifanyika pwani,Bali bukoba na kwingineko
 
Historia kama hizi yule babu kilizi hawezi kuzi support mana hakuna wavaa kobazi wenzake...kwenye hiyo picha.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mzee wangu Mohammed Said aje atueleze kama Nyerere aliitaifisha au aliiacha
 
Kuuliza tu, je hiyo sekondari bado ipo?

Vipi perfomance yake? Ni akina nani wanakumbukwa kusoma pale.

Pengine hii ilikuwa maalum kwamba wasome vijana wa huko ili wapeleke maendeleo kwao.
Shule ipo mpaka leo, ipo o level na a level mchanganyiko, ipo lindi mjin
 
Kuuliza tu, je hiyo sekondari bado ipo?

Vipi perfomance yake? Ni akina nani wanakumbukwa kusoma pale.

Pengine hii ilikuwa maalum kwamba wasome vijana wa huko ili wapeleke maendeleo kwao.
Lindi Sec bado ipo sana na performance yake ni nzuri especially advanced level, shule hii ipo Lindi mjini jirani na hospitali ya mkoa Sokoine au ofisi za mamlaka ya maji LUWASA. Mwaka 2016 ilipata ajali ya moto lakini sasa imekarabatiwa iko vizuri
 
Mtu mmoja kura 3, Wazungu bhana, ndo maana leo hii ukimgusa Muhindi kama Dewji Mo nigga wanaweza kukuuwa kumtetea!
 
Lindi Sec bado ipo sana na performance yake ni nzuri especially advanced level, shule hii ipo Lindi mjini jirani na hospitali ya mkoa Sokoine au ofisi za mamlaka ya maji LUWASA. Mwaka 2016 ilipata ajali ya moto lakini sasa imekarabatiwa iko vizuri
Kuna jamaa aliniambi kwamba alumni walichangia ukarabati.
 
Hayo ya kusoma vijana wa huko hayakua yakifanyika pwani,Bali bukoba na kwingineko
We unaona kabisa shule ilikuwa inaitwa Government Indian Secondary School... sasa kwa akili yako hiyo shule ilijengwa kwa ajili ya wenyeji?!

Hii shule naifahamu, na ya msingi sifahamu zamani ilikuwa inaitwaje lakini siku hizi inaitwa Stadium Primary School! Hata ya msingi ilikuwa imejaa Wahindi!!!

Badala ya kushukuru kwamba huko mnakojiona wasomi sana Wamisionari waliwajengea mashule, ndo mnadhani kila mahali walipata hiyo bahati lakini wakaacha tu "kwa sababu watu wa pwani hawapendi kusoma"

Lakini hata zilipokuja kutaifishwa manake ni nini?!

Zikaanza kutoa fursa kwa watoto ambao wazazi wao HAWAKUSOMA, na kwahiyo hata huo umuhimu wenyewe wa elimu hawakuuona!! Hii inakuja kuwa tofauti na watoto ambao walipata bahati wazazi wao walisoma kwenye shule za misionari!

Na hilo lipo apparently hadi kesho! Hivi kule Umasaini na maeneo mengine ya wafugaji si hadi kesho watoto kwenda shule inakuwa mbinde?! Kwanini isiwe mbinge wakati wazazi wao hawakwenda shule? Au na kwenyewe ni pwani?!
 
Na wewe tumia akili! Shule ilikuwa inaitwa Government Indian Secondary School... sasa kwa akili yako hiyo shule ilijengwa kwa ajili ya wenyeji?!

Hii shule naifahamu, na ya msingi sifahamu zamani ilikuwa inaitwaje lakini siku hizi inaitwa Stadium Primary School! Hata ya msingi ilikuwa imejaa Wahindi!!!

Badala ya kushukuru kwamba huko mnakujiona wasomi sana Wamisionari waliwajengea mashule, ndo mnadhani kila mahali walipata hiyo bahati lakini wakiacha "kwa sababu watu wa pwani hawapendi kusoma"

Lakini hata zilipokuja kutaifishwa manake ni nini?!

Zikaanza kutoa fursa kwa watoto ambao wazazi wao HAWAKUSOMA, na kwahiyo hata huo umuhimu wenyewe wa elimu hawakuuona!! Hii inakuja kuwa tofauti na watoto ambao walipata bahati wazazi wao walisoma kwenye shule za misionari!

Na hilo lipo apparently hadi kesho! Hivi kule Umasaini na maeneo mengine ya wafugaji si hadi kesho watoto kwenda shule inakuwa mbinde?! Kwanini isiwe mbinge wakati wazazi wao hawakwenda shule? Au na kwenyewe ni pwani?!
Kagera palikua na shule wakisoma wahaya tu,kichwele ya dar ikijazwa na watu toka songea na mbinga,utaifishaji ulizuwia watu binafsi jumuiya za "kidini" kuwa na shule,isipokua shule za "misheni" kadhaa ziliachwa kwa wenyewe,ukiruhusu shule binafsi akina wale walikua na hela,wangesomeshsna hata bure,akifika sekondari ungembagua vipi kwenye ajira kipindi kile!?..tutajizatiti vipi "kimamlaka"!?...,Waziri wa elimu wa Imani ile anatokea miaka 27 baadae,wizara ya elimu ni damba letu na wengi wanafaulu ni sisi,japo wale wapo wengi tu shule ya msingi,hata shule za pwani!!..hapo padri kishakua Waziri wa elimu
 
Back
Top Bottom