Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Mmeanza tena!!! Unadhan walioweka home and away ni wajinga?Mtu mwenye akili timamu na anaejua mpira anajua kabisa Wananchi safari iliishia nusu fainali. Hawa Waarab tena leo hawajacheza level Yao. Hata wangekuja wale Mimosas wangebeba kombe. Ukiangalia safari ya Yanga kote alikopita ilikuwa ni bahati tu iliwabeba kukutana na tim ambazo msimu huu haziko sawa km T-Mazembe, vinginevyo leo tungekuwa tumemaliza ligi ya NBC
We ulivyokutana na Namungo na Azam kashkash zilikuwa kubwa?Mtu mwenye akili timamu na anaejua mpira anajua kabisa Wananchi safari iliishia nusu fainali. Hawa Waarab tena leo hawajacheza level Yao. Hata wangekuja wale Mimosas wangebeba kombe. Ukiangalia safari ya Yanga kote alikopita ilikuwa ni bahati tu iliwabeba kukutana na tim ambazo msimu huu haziko sawa km T-Mazembe, vinginevyo leo tungekuwa tumemaliza ligi ya NBC
Yani leo yaacheni Mbumbumbu yaongee weee na kupiga mayowe maana hayana akili kabisa, badala yawe na vifua kama Me kuamini bado dakika 90 za ugenini awamu ya pili yameshaanza kuhemukwa kama fyuzi zimekatika kwenye bongo zao [emoji23]Mmeanza tena!!! Unadhan walioweka home and away ni wajinga?
Hivi haiwezekani kucheza bila ahadi.hiz ahadi huvuruga Sana wachezaji hupanga hesabu zao za matumizi na kusahau Kaz yao uwanjan
Pia suala la wanasiasa liangaliwe nalo
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks
Mupe.....Muruke.....ooooooohooo! M60 zinakuja 1-2🤣🤣🤣🤣🤣