1kz engine inafaa?

Sexer

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2014
Posts
8,440
Reaction score
8,149
habarini wakuu, nataka kuuziwa gari toyota hiace ya 1kz engine ambayo nitaifanya daladala, je hii injini inafaa? make nimezoea kusikia 5L, 3L, nk. msaada wadau
 
1KZ hiyo engine ndio ipo kwenye toyota Hilux 3.0 TD au zingine zinaandikwa 1KZ..KZTE au 1 KD zingine ni Turbo Engine na zingine hazina turbo za diesel..hizo ni moja ya engine bora za Toyota zile pick up Hilux ngumu nyingi zina engine hiyo..sasa sijajua hiyo unayotaka kununua milege zake au uchakavu wa hiyo gari kujua kuna ubora au laa maana tatizo la engine nyingi ni kutopata matunzo bora haya ikiwa bora itaonekana ya kawaida tuu..
 
inafaa sana...ila cheki milage zisiwe zimesonga saaaana
 
yap...ukipata below 100,000 safi zaidi ...hata 150,000 sio mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…