1st Anniversary: JF Assault


Hii inaonyesha jinsi watawala wetu wanavyohaha usiku na mchana kuminya uhuru wa kupata habari. Yaani wanatumia rungu kuua kainzi! Ila kitu kinachonifurahisha ni kuwa kupitia uvamizi wa dola dhidi ya JF ndipo wananchi wengi walijiuliza JF ni nini na waktaka kuijua na si ajabu JF imezidi kupata umaarufu kuliko mwanzoni.

Ni vema serikali ifahamu hili-the more forces it usues against JF the more stronger and popular JF become. Ni vema Watawala watulie ili tuendelee kuwapa data za mambo yanavyoendela nchini, hapa watapata dte za kuwasaidia kupamabana na Ufisadi (if they are willing na kuwakosoa pia ili wajirekebishe). Wasilogwe kuwa katika nyakati hizi watanzania bado ni walewale wa1947, Watanzania wamebadilika sana na wamezidi kuelimika zaidi.

JF idumu daima, ikiwa CCM inatawala au haitwaw
 
Mod naomba ubadilishe kichwa cha habari na kuwa-1st Anniversary after JF Assault. Nadhani itkuwa sanifu zaidi kuliko sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…