wadau tarehe 2 mwezi wa 5 mahaka kuu inamvua ubunge mbunge wa tabata segerea so vijana kwa wazee wote tukae mkao wa kula kwa uchaguzi mwingine..cha msingi ni kuhakikisha tunaweka stashahada zetu vizuri....na kujitokeza kwa wingi kituoni kuwaadhibu magamba kwa mara ya pili mfululizo
Acha hizo, mnatafuta sababu ya kuja kudai hukumu hii pia ilivuja, ili ku-justfy hukumu ya Lema iliyovuja kule Arusha. Kwa nini usisubiri hiyo tarehe, kuna haraka gani?