Gaijin, hoja zako zimepangika na rahisi kumuondoa mtu kwenye mstari, ila kumbuka hapa tunayemuongelea sio Bang - tunamuongelea CEO wake na mvuto wake kwa jamii ambao hauishii kwenye Bang tu na nasikia alikuwa mbioni kuanzisha Talk Show kama ya Oprah, hivi hujiulizi kwa nini Zantel imemtumia kwenye yale mabango yake au hujui kuwa wadau wa masoko/marketing wanajua umuhimu wa kutumia 'influential people'?
Adds make people buy things they don't need. On another note: I am prety sure that Zantel targets corporate entities and not jua kali kwa hiyo no offence hoja ya Zantel is misplaced here.