Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
1. Emelda Mwamwanga - Bang! Magazine
2. Ridhwan Kikwete - UVCCM
3. Constantine Magavilla - ZAIN
4. Zitto Kabwe - CHADEMA
5. Elsie Kanza - State House
6. Kelvin Twissa - Zain
7. Modesta Mahiga -Professional Approach
8. Mwamvita Makamba - VODACOM
9. Professor J - Bongo Flava
10. Mwanakijiji - CCJ/CCK
---------------------------
11. Invisible - JF
12. Issa Michuzi - Michuzi Blog
13. Eric Shigongo - Global Publishers
14. Shyrose Banji - NMB
15. Masudi Kipanya - www.kipanya.co.tz
16. Fina Mango - One Plus Communication
17. Humprey Polepole - Tanzania Youth Coaltion, TYC
18. Jerry Silaa - Naibu Meya, Ilala
19. Lay Jaydee - Machozi Band
20. Kitila Mkumbo - UDSM
Namfagilia Shamim ( 8020 fashions) yeye kwenye blog yake anafuatwa sana na akina dada wa umri wa kati ( 25-35) napenda mijadala yake na hao akina dada ( mama) Ninaamini kuwa akiamuwa anaweza kuwa ni chombo muhimu sana cha kuwapa elimu ya kimaisha watoto wetu wa kike ( eating disorders, ngono zenye akili, financial intelligence; etc.)
Michuzi? No way jose!! He's in his 40s. He's officially an old head. I mean, let's face it...I've been hearing about Michuzi since I was in primary school. He definitely doesn't belong in that list.
Prondo, de facto makao makuu ya nchi ni Dar es Salaam hivyo si ajabu watu wanao-influence nchi hii wakawa wamebanana humo.
Nyani, haya nimekubali yaishe, Michuzi sio kijana - yuko kwenye reserve list, hao top 10 ndio listi ya awali, tuendelee kui-refine zaidi.
Shy, hapo tunaongelea watu wenye influence kubwa katika ngazi ya kitaifa na kimataifa, walio katika orodha hiyo wanasikika kila kona.