Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Marekani hawezi kuishi bila kupigana vita. Hapo anamtafuta mwarabu mwimgine mjinga mjinga aliezubaa analianzisha anabeba mali huyoo Washington mnaachiwa maghofu.Kwa sasa imebaki story tu... Linatafutwa zengwe linguine na abebeshwe mtu/taifa gunia la misumari..
Hiki kiingereza kimepiga kona za hatariSeptember 11 2001 The US forces and allies invade Afghanistan. The war against terror which led to the killing of Osama bin laden and occupied Afghanistan.
Tomorrow will be 20 years ago since the war started and mark the new regime in Power ( previous one) . Is the USA failed to eliminate The Talibans authorities?
Jana BBC walionyesha jinsi Taleban wanavyopokea rushwa kwenye check points. Waandishi wa habari waliotoa taarifa za maandamano yaliyofanyika huko walipigwa sana, ndani ya Taliban hakuna ustaarabu wala uchamungu.Mungu yu pamoja nanyi WATALEBAN.
Nchi itakuwa chini ya watu wasitaarabu, wenye hofu na Mungu. dhurma, mateso, ukandamizaji umefikia kikomo chini ya wataleban. Amani itatawala.
God bless Taleban Government na wa2 wake.
Jana BBC walionyesha jinsi Taleban wanavyopokea rushwa kwenye check points. Waandishi wa habari waliotoa taarifa za maandamano yaliyofanyika huko walipigwa sana, ndani ya Taliban hakuna ustaarabu wala uchamungu.
Marekani hawezi kuishi bila kupigana vita. Hapo anamtafuta mwarabu mwimgine mjinga mjinga aliezubaa analianzisha anabeba mali huyoo Washington mnaachiwa maghofu.
Afghan sio waarabu.
Marekani ni adui mkubwa kwa waisilamu hilo liko wazi, lau nchi zote za kiisilamu/kiarabu zingeungana kwa pamoja hao makafiri/makafiri wa kiyahudi yasingethubutu kuwavuruga waisilamu na duniani kote.
Pia nchi zote za kiisilamu zingeongozwa kwa sharia za kiisilamu ingependeza mno.
Jamaa upo kwenye usingizi mzito sana...waislamu 99% magaidi wahed
Bora yeye yupo kwenye usingizi na ataamka,ila wewe huna akili kabisa,umetawaliwa na upumbavu kichwani mwako.Jamaa upo kwenye usingizi mzito sana...waislamu 99% magaidi wahed