2000 Toyota Corona Premio

Mfikilwa

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2008
Posts
412
Reaction score
123
Toyota Premio,model 2000, 7A Engine, imetembea japan km 92,000, cc 1800,bei million 8, imelipiwa ushuru na kusajiliwa, haijatembea hapa nyumbani toka imefika hipo showroom.nitwangie namba 0715250540 ama 0773250540
 

Attachments

  • 06.jpg
    35.6 KB · Views: 201
  • 07.jpg
    39.2 KB · Views: 190
  • 08.jpg
    31.5 KB · Views: 151
  • 09.jpg
    37.7 KB · Views: 167
  • 10.jpg
    43.2 KB · Views: 149
wewe acha hizo kwani ww japan umeileta kwa bei gani na wengine washindwe?
 
wewe acha hizo kwani ww japan umeileta kwa bei gani na wengine washindwe?

mkuu usigope ni biashara mazungumza yanakuwepo,tukiafikiana tunafanya biashara, vilevile wengine wanaogopa kurisk kama nilivyorisk, vile vile kinachopatikana hapo si kingi kama unavyofikilia.
 
wewe acha hizo kwani ww japan umeileta kwa bei gani na wengine washindwe?

Nn maana ya biashara? gari imgarimu 6.2 auze 6.5? UTANI! Huwa tunagonga sm ukiona hakubaliani na pesa uliyonayo unakwenda tradecarview kimya2!
 
Nn maana ya biashara? gari imgarimu 6.2 auze 6.5? UTANI! Huwa tunagonga sm ukiona hakubaliani na pesa uliyonayo unakwenda tradecarview kimya2!

asante mkuu kwa ufafanuzi mzuri.
 
wewe acha hizo kwani ww japan umeileta kwa bei gani na wengine washindwe?

jamani tuwe wastaarabu hapa kila mtu ana uhuru wa kutangaza biashara...kama umeshindwa tulia ama chapalapa waachieni wenye uwezo msiwakatishe watu tamaa
 
jamani nimekwama naombeni msaada, gari toka imefika bongo nimeweka showroom kwa mshikaji, lakini bei anayowaambia watu wanatishika, sasa kama kuna mtu anamjuwa mtu anayetafuta corona tuwasilianae nimwachie,ukweli sitii chumvi wala sukari gari hiko bomba,haina tatizo lolote na kodi imelipiwa,tusaidiane kwa hilo tafadhali!
 
kaka mwaga details hapa, maelezo yako hayatoshi mtu yeyote anaweza kusema hivyo ulivyosema, tafadhali kabla ya mambo mengine weka picha ya gari!!!!!!!!![/QUOT

picha mbona zipo hapa
 
jamani tuwe wastaarabu hapa kila mtu ana uhuru wa kutangaza biashara...kama umeshindwa tulia ama chapalapa waachieni wenye uwezo msiwakatishe watu tamaa

Uko sawa mkuu, kama unaona bei ni kubwa wacha wengine wazungumze na mshikaji wamalize biashara!

Kuweni wastaarabu jamani! Hukulazimwisha kununua kama unaona vp agiza na wewe kutoka japan ubebe risk zote ambazo zipo!!
 
Ok Mkuu,
Niko serious hapa, naomba nipe majibu katika mambo haya, Gari ni ya mwaka gani? Unaweza kuweka hapa specifications zinazoambatana na hiyo gari? Endapo tunakubaliana kuhusu bei uko tayari kuchukua down payment ya 70% then 30% nikulipe after 2 months? Gari utanipa lakini Registration card utakuwa nayo wewe!
 

gari ni ya mwaka 2000,Engine yake siyo D4, imetembea japan km 92,000, cc 1800, hiyo down payment ingekuwa bomba kama ingekuwa 90%, hela naziitaji kwa ajili ya kuzungushia, kama huko tayari nitwangie huje iona, hiko bomba sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…