2000 toyota raum A/T

dullymo

Senior Member
Joined
Aug 21, 2009
Posts
105
Reaction score
5
IMESHAUZWA!!!!

toyota raum 2000yr model
automatic, 1490CC, 84,000km only
power steering, power window, radio and tape,nk
imeingia kutoka japan wiki hii. ishalipiwa ushuru na kodi zote
bei ni tshs 7,800,000/ tu. unapewa fungua na kuingia barabarani.
kama unaihitaji tafadhali nitafute kwenye

0713 744144

email - dullymo@gmail.com

serious buyers only
 

Attachments

  • sold_out.gif
    10.3 KB · Views: 71
Last edited:
Mkuu ungejaribu kuweka angalau hata Picha
 
maallim hebu nitake radhi kwa maandishi!!!
 
How can this be breaking news? let alone a developing story?
 
Jamani tuwe makini na matumizi ya hivi vichwa vya habari! mtu una tangazo lako kwa nini liwe breaking news?
 
Kaizer
Kwa mtazamo wangu amekosea na hakujua..Acha tu kuna siku ilinikuta nilidata kuiondoa BN, haitoki mpaka Mods wacheze..
changamkia gari hilo mkuu..
 
Kaizer
Kwa mtazamo wangu amekosea na hakujua..Acha tu kuna siku ilinikuta nilidata kuiondoa BN, haitoki mpaka Mods wacheze..
changamkia gari hilo mkuu..


sawa Belly, hilo gari na iyo rangi yake naona ingekufaa zaidi wewe au sio? mi kadogo mno....lol
 
Kaizer
Kwa mtazamo wangu amekosea na hakujua..Acha tu kuna siku ilinikuta nilidata kuiondoa BN, haitoki mpaka Mods wacheze..
changamkia gari hilo mkuu..

Hehehe ulijuuuta siku ile.
Hilo gari vp naona bei nzuri sana na gari lenyewe bado lipo order fanya makeke Bellies.
 
sawa Belly, hilo gari na iyo rangi yake naona ingekufaa zaidi wewe au sio? mi kadogo mno....lol

Sipo fresh sasa, bado nadunduliza mkuu. Thanx



Hehehe ulijuuuta siku ile.
Hilo gari vp naona bei nzuri sana na gari lenyewe bado lipo order fanya makeke Bellies.

Ile siku nilichanganyikiwa kweli kisa breaking news!
Mkuu, kwasasa sipo vizuri kabisa na haipo kwenye plan..Thanx
 
hahah unajua sometimes lazima uweke vichwa vya habari vitakavyowastua watu kdg. hope hata wewe usingeiview kama ungekuta tangazo la kawaida. gud day
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…