2002 toyota vitz

JAMIETZN

Member
Joined
Apr 25, 2009
Posts
72
Reaction score
1
Natanguliza heshima.

Gari nzuri sana inauzwa kwa usafiri wa mjini na matumizi madogo ya mafuta, safi isiyo na matatizo ya kuguswa engine kama magari mengi yatokayo japan. Ina aluminium wheel tofauti na wheel za kawaida za toyota vitz zilizo ndogo

aina:toyota vitz
mwaka: 2002/apr
engine: 1300 cc
odometer: 123,000km
rangi: Sky blue

bei makubaliano kwa ku pm.

Karibu.
 
weka picha na bei mkuu hii gari ni nzuri sana fuel consumption ukiweka full tank kwa safari za hapa mjini unasahau kabisa?
 
ipo mkoa gani?

Ndio imetoka kulipiwa ushuru TRA Jana na Leo ina itatolewa Bandarini Dar es salaam. Picha zinaweza kuja baada ya kuweka plate number za Tanzania. Kwa mwenye kuifikiria hiyo anaweza kusubiri picha.

Na nitatoa miezi 6 gurantee kama italeta shida kwa parts yoyote tuna replace.
 
Ila nimesikia kali ya jiji hili wadada siku hizi wanaingilika na Vitz! wakuu ni kweli...
 
Nashukuru kwa kuuliza. Nivumilie kidogo nikipokea picha toka kwa bwana mdogo nitaziweka hapa.
mkulu,
mbona umekazana kujibu swali la picha tu lakini la bei unalikwepa?
hebu weka bei bana watu wabagain!
 
Mkuu mm si mnunuzi,ila 1.kipengele cha guarantee nakushauri ukitoe,hata Toyota,TZ(IMM)Wanakwambia chukua bima
2. Wa Tz tunapenda bargaining wape bei ongeza mil.2 za kupunguza. 3. Si una picha za Japan?wawekee hz. Kama unataka msaada wa bei nasikia zinauzwa 15mil.~ahahahaaa.
 
mkulu,
mbona umekazana kujibu swali la picha tu lakini la bei unalikwepa?
hebu weka bei bana watu wabagain!

Natanguliza heshima.

Gari nzuri sana inauzwa kwa usafiri wa mjini na matumizi madogo ya mafuta, safi isiyo na matatizo ya kuguswa engine kama magari mengi yatokayo japan. Ina aluminium wheel tofauti na wheel za kawaida za toyota vitz zilizo ndogo

aina:toyota vitz
mwaka: 2002/apr
engine: 1300 cc
odometer: 123,000km
rangi: Sky blue

bei makubaliano kwa ku pm.

Karibu.
 

Mkuu Nashukurukwa ushauri mzuri sana, Ila tambua tu kwambaToyota TZ IMM ni Toyota TZ IMM na JamieTZN ni JamieTZN. Huo wakati wa kuangalia na kuigiza ushauri wa watu wengine nilisha uacha zamani.

Bei ya gari soma maelezo vizuri .
 
mkuumweka bei peupe acha longolongo bana watu wanataka usafiri huo.
 
ipo nchi gani ndugu??????????????????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…